Kipindi cha uteuzi wa Mgombea Urais, Wabunge na Madiwani kupitia CHADEMA kitagubikwa na hujuma sana endapo maridhiano yasipofanyika

Kipindi cha uteuzi wa Mgombea Urais, Wabunge na Madiwani kupitia CHADEMA kitagubikwa na hujuma sana endapo maridhiano yasipofanyika

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Na katika uchaguzi mkuu wenyewe sasa, hujuma zitafanyika wazi wazi kabisa kwa wagombea uongozi wa chadema kama kulipa kisasi cha figisu na songombingo za kabokamchizi wakati wa uchaguzi wa ndani wa chadema.

Kuna maeneo ambayo awali chadema ilikua na ufuasi mkubwa sana, but kwa hujuma na kukomoana hawatapata kuungwa mkono tena kwa makusudi tu kama muendelezo wa kuhujumiana, kutwezana utu, kukomoana na migawanyiko iliyokuwepo wakati wa uchaguzi wa ndani.

Vilio vya hujuma, usaliti na kukomoana kwa makusudi havitakoma ndani ya chadema mpaka maridhiano ya kweli yatakapofanyika, hata hivyo itachukua muda mrefu sana kuponya majeraha ya tuhuma za kizushi miongni mwao, na kutwezana utu binafsi na familia zao wakati ule wa kampeni za uchaguzi wao wa ndani.

Vikao vya kusimamishwa na kuenguana uanachama havitaisha, nadhani hiyo ni agenda mojawapo muhimu sana ya kiongozi mpya wa Chadema.

Una maoni gani 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Gentleman hata saa 12 alfajiri bado, ila tayari wewe una iwaza chadema.

*Angalia usi pate mimba ya kusadikika, ohh.
hujaoa,
atakuamsha nani sasa wew gentleman na usingizi umekukata?

mimi nipo ofisini gentleman nafagia mabanda ya ngombe na nguruwe tangu muda mureeefuuuu,

halafu contents za kuhusu hao vibaka na matepeli wa chadema ninazo nyingi zaid, nimeona nizipunguze kidogo 🐒
 
itategemea na uongozi wa Lissu iwapo utaendekeza makundi huo ndiyo mtihani wake wa kwanza.
nadhani sura ya uongozi wa kiongozi huyo mpya inajionyesha wazi kabisa,

kuna malalamiko ya hujuma za no reform no elections kutoka kwa katibu mkuu wa chadema taifa. kwamba agenda hii inahujumiwa, kumbe haieleweki tu kwa wanaChadema,

lakini pia kuna tuhuma za uongozi wa chadema taifa kunajisi katiba yao kwa kuteua ndugu, jamaa, marafiki na wanafamilia wake wasio hata na sifa wala vigezo vya uongozi na kuwapa nafasi kama zawadi.

unategemea nini wakati wa uteuzi kwajili ya urais, udiwani na ubunge?
Chadema itagawanyika zaid na hujuma zitakua mbaya zaid 🐒
 
Na katika uchaguzi mkuu wenyewe sasa, hujuma zitafanyika wazi wazi kabisa kwa wagombea uongozi wa chadema kama kulipa kisasi cha figisu na songombingo za kabokamchizi wakati wa uchaguzi wa ndani wa chadema.

Kuna maeneo ambayo awali chadema ilikua na ufuasi mkubwa sana, but kwa hujuma na kukomoana hawatapata kuungwa mkono tena kwa makusudi tu kama muendelezo wa kuhujumiana, kutwezana utu, kukomoana na migawanyiko iliyokuwepo wakati wa uchaguzi wa ndani.

Vilio vya hujuma, usaliti na kukomoana kwa makusudi havitakoma ndani ya chadema mpaka maridhiano ya kweli yatakapofanyika, hata hivyo itachukua muda mrefu sana kuponya majeraha ya tuhuma za kizushi miongni mwao, na kutwezana utu binafsi na familia zao wakati ule wa kampeni za uchaguzi wao wa ndani.

Vikao vya kusimamishwa na kuenguana uanachama havitaisha, nadhani hiyo ni agenda mojawapo muhimu sana ya kiongozi mpya wa Chadema.

Una maoni gani 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kuna mtu kasema angalia usije pata mimba ya kusadikika kutoka Chadema
 
Si ile ile bei elekezi ya buku seven, au dau lishapandishwa Mwaisaa
hoja mahusisi mezani ni muhimu sana, na ni jambo la maana mno kuihifadhi vizuri maana mayowe ya kuhujumiana na kutwezana utu wakati wa uteuzi wa wagombea uongozi wa urasi, udiwani au ubunge yatapigwa kwa sauti ya juu mno gentleman 🐒
 
Na katika uchaguzi mkuu wenyewe sasa, hujuma zitafanyika wazi wazi kabisa kwa wagombea uongozi wa chadema kama kulipa kisasi cha figisu na songombingo za kabokamchizi wakati wa uchaguzi wa ndani wa chadema.

Kuna maeneo ambayo awali chadema ilikua na ufuasi mkubwa sana, but kwa hujuma na kukomoana hawatapata kuungwa mkono tena kwa makusudi tu kama muendelezo wa kuhujumiana, kutwezana utu, kukomoana na migawanyiko iliyokuwepo wakati wa uchaguzi wa ndani.

Vilio vya hujuma, usaliti na kukomoana kwa makusudi havitakoma ndani ya chadema mpaka maridhiano ya kweli yatakapofanyika, hata hivyo itachukua muda mrefu sana kuponya majeraha ya tuhuma za kizushi miongni mwao, na kutwezana utu binafsi na familia zao wakati ule wa kampeni za uchaguzi wao wa ndani.

Vikao vya kusimamishwa na kuenguana uanachama havitaisha, nadhani hiyo ni agenda mojawapo muhimu sana ya kiongozi mpya wa Chadema.

Una maoni gani 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Umeshiba. Kanye
 
hujaoa,
atakuamsha nani sasa wew gentleman na usingizi umekukata?

mimi nipo ofisini gentleman nafagia mabanda ya ngombe na nguruwe tangu muda mureeefuuuu,

halafu contents za kuhusu hao vibaka na matepeli wa chadema ninazo nyingi zaid, nimeona nizipunguze kidogo 🐒
Wenye akili huwa tunasoma tu heading na kukupuuza. Ndo maana tunasema KANYE
 
Na katika uchaguzi mkuu wenyewe sasa, hujuma zitafanyika wazi wazi kabisa kwa wagombea uongozi wa chadema kama kulipa kisasi cha figisu na songombingo za kabokamchizi wakati wa uchaguzi wa ndani wa chadema.

Kuna maeneo ambayo awali chadema ilikua na ufuasi mkubwa sana, but kwa hujuma na kukomoana hawatapata kuungwa mkono tena kwa makusudi tu kama muendelezo wa kuhujumiana, kutwezana utu, kukomoana na migawanyiko iliyokuwepo wakati wa uchaguzi wa ndani.

Vilio vya hujuma, usaliti na kukomoana kwa makusudi havitakoma ndani ya chadema mpaka maridhiano ya kweli yatakapofanyika, hata hivyo itachukua muda mrefu sana kuponya majeraha ya tuhuma za kizushi miongni mwao, na kutwezana utu binafsi na familia zao wakati ule wa kampeni za uchaguzi wao wa ndani.

Vikao vya kusimamishwa na kuenguana uanachama havitaisha, nadhani hiyo ni agenda mojawapo muhimu sana ya kiongozi mpya wa Chadema.

Una maoni gani 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Screenshot_20250220_064615.jpg
Wakuu mnapambana sana..
 
ni muhim kuzingatia msisitizo wa mambo haya muhim ya kisiasa ndani ya chadema,

msije baadae kusema ati wataalamu hatukusema, hatukutoa tahadhari wala hatukuwapa angalizo.

Lipo tatizo la kukosekana umoja ndani ya uongozi mpya wa chadema, na lisipotatuliwa sasa, mbeleni tatizo linaweza kua kubwa zaidi.

Agenda ya no reform no elections, anae ielewa ni mwenyekiti wa chadema Taifa pekeyake, viongoz wengine wanamshangaa tu hadi wengine wanadai kuna hujuma 🐒
 
Back
Top Bottom