Kipindi cha uteuzi wa Mgombea Urais, Wabunge na Madiwani kupitia CHADEMA kitagubikwa na hujuma sana endapo maridhiano yasipofanyika

Wenye akili huwa tunasoma tu heading na kukupuuza. Ndo maana tunasema KANYE
huku kiroho kina kumpwita mpwita,

si ungepita kimya sasa gentleman, mbona una mbwelambwela wakati hoja yenyewe ni tahadhari na angalizo tu na haina haja hata ya comment?πŸ’
 
Wewe unapenda Chadema iwe imara?
 
Leo utaweka nyuzi ngapi za cdm ili tuziangalie zote jioni?
 
"Bila mabadiliko hamna uchaguzi" cdm naona mwaka huu wapo serious,wanaotaka kugombea waende vyama vingine.
 
"Bila mabadiliko hamna uchaguzi" cdm naona mwaka huu wapo serious,wanaotaka kugombea waende vyama vingine.
Sure,
wapo serious sana kuvunja katiba yao wenyewe na kuzawadiana vyeo kirafiki na kindugu, lakini pia kuibua na kubeba agenda za kujiangamiza na kujimaliza wenyewe kisiasa, mathalani agenda ya no reform no election
 
Leo utaweka nyuzi ngapi za cdm ili tuziangalie zote jioni?
Gentleman,
ninazo zaidi ya contents 100 kuhusu vyama vya siasa nchini ikiwa ni pamoja na chadema,
ni muhimu kurilax na kukaa mkao wa kuongeza ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya mambo haya muhimu ya kisiasa
 
Natamani sana Tanzania pawepo na very united and vibrant opposition,
sio utapeli unaofanywa na huyo kibaka wa siasa chadema
With due respect bila merely ushabiki, unaweza kutupa evidence za ukibaka wake ili nasisi tumuepe?
 
Sure,
wapo serious sana kuvunja katiba yao wenyewe na kuzawadiana vyeo kirafiki na kindugu, lakini pia kuibua na kubeba agenda za kujiangamiza na kujimaliza wenyewe kisiasa, mathalani agenda ya no reform no election
Nani tumwamini katibu mkuu au mwanachama wa kawaida?
 
Nani tumwamini katibu mkuu au mwanachama wa kawaida?
kiongozi au mwanachama anaeheshimu na kuzingatia katiba ya chama,
bila kupotosha wanachama wake kupoteza uhuru na haki zao za kikatiba, kwa agenda za aina ya No reform, No elections anafaa kuaminiwa, kinyume na hapo nitapeli na kibaka wa kisiasa
 
With due respect bila merely ushabiki, unaweza kutupa evidence za ukibaka wake ili nasisi tumuepe?
ni utapeli kuomba kuchagiwa pesa za matumizi mwaka jana,
na tena na mwaka huu kwa mtindo ule ule anaomba kuchangiwa pocket money kwa mgongo wa chama na huku akiwa hana mpango mkakati kabisa wa kujitegemea kiuchumi, huyo sio kibaka wa kisiasa kweli gentleman?
 
CHADEMA YA SASA HAINA MVUTO
 
CHADEMA imekosa uongozi uliobora
 
NONSENSE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…