Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Tumemaliza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa November, 2024 na sasa tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025.
Tumeona hamasa zikifanywa na watu mbalimbali juu ya ushiriki wa wanawake katika ngazi mbalimbali, lakini je, inatosha?
Uchaguzi wa serikali za mitaa umeisha, ushiriki wa wanawake unaridhisha kwenye ngazi hii?
Pia soma: LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakati huu kuna vyana ambavyo vimefanya chaguzi za ndani, na CHADEMA wakiwa wanakamilisha uchaguzi wao Mkuu leo Januari 21, 2025, ushiriki wa wanawake ukoje? Tunapata picha gani kuelekea Oktoba 2025? Kuna mwanga au bado tunahitaji nguvu zaidi?
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
==================================================
2024
JANUARI
Tumemaliza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa November, 2024 na sasa tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025.
Tumeona hamasa zikifanywa na watu mbalimbali juu ya ushiriki wa wanawake katika ngazi mbalimbali, lakini je, inatosha?
Uchaguzi wa serikali za mitaa umeisha, ushiriki wa wanawake unaridhisha kwenye ngazi hii?
Pia soma: LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakati huu kuna vyana ambavyo vimefanya chaguzi za ndani, na CHADEMA wakiwa wanakamilisha uchaguzi wao Mkuu leo Januari 21, 2025, ushiriki wa wanawake ukoje? Tunapata picha gani kuelekea Oktoba 2025? Kuna mwanga au bado tunahitaji nguvu zaidi?
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
==================================================
2024
- Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume
- Pre GE2025 Tufanye nini ili kuongeza ushiriki wa wanawake hasa vijana kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
- Marekebisho ya Sheria za Uchaguzi kwenye Ukatili wa Kijinsia yataleta mabadiliko yoyote kwenye ushiriki wa wanawake?
- Nafasi ya ushiriki kwa Wanawake wa vijijini katika katika kuwania nafasi za uongozi uchaguzi wa Serikali 2024
- Rais Samia, vijana tunataka tuwe viongozi, tunaomba sheria ya mgombea binafsi ili tupate nafasi kwenye vyama vya siasa, ni ngumu vijana kupenya
- Kwanini wanawake huwa hawaoneshi nia ya kugombea nafasi za uongozi wa Serikali za mitaa?
- Kwa Wanawake: Una mipango ya kugombea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa au Uchaguzi Mkuu? Kwanini?
- Nimesanuka, mitaa yote niliyokaa Viongozi wa Serikali za Mitaa ni Wazee, kwanini Wanawake na Vijana hatuzishobokei nafasi hizi?
- Ni mwanasiasa gani Mwanamke wa Tanzania ambaye unavutiwa na Utendaji Kazi wake?
- Pre GE2025 Mzazi/Mlezi, Ungependa Binti yako awe Mwanasiasa?
- Ni mambo gani yanawakwamisha Wanawake kuingia katika Siasa na Uongozi hapa Tanzania?
- Ni kwa namna gani Upendeleo wa Kijinsia huwakwamisha Wanawake kushiriki katika Siasa Tanzania?
- Unadhani ni kwanini vyama vya upinzani vikongwe nchini hawawaamini na hawapendelei kuwapa fursa za uongozi wa juu wanawake?
- Unadhani "Viti Maalum" vimefanikisha usawa wa kijinsia vya kutosha au kunahitajika marekebisho zaidi?
- Kuna umuhimu gani wa Wanawake kujiingiza katika Siasa kuanzia wakiwa Wadogo?
- Ushiriki wa vijana wa kike kwenye uchaguzi nchini ni suala muhimu katika kuimarisha demokrasia
- Hakuna umuhimu Wagombea kuwachezesha vigoma Dada zetu mnapoenda kuchukua au kurejesha fomu. Huu ni udhalilishaji
- LGE2024 Wanawake Jitokezeni Kugombea na kupiga kura kama mlivyojitokeza kujiandikisha Serikali za Mitaa
- Vyama vya siasa, familia, jamii pande tatu zenye maoni tofauti kwa wanawake kushika nafasi za uongozi
- Vyama vya Siasa viwape upendeleo na kipaumbele wagombea Wanawake mchakato wa ndani uwakilishi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
- Rushwa ya ngono inavyowatesa wanawake wanaotaka Uongozi
- Mwanamke anahaki ya kuongoza taifa hili. Watu waelewe nchi yetu haiongozwi na Dini wala Mila na desturi bali Katiba ya Nchi
- Uchumi mdogo kikwazo kwa mwanamke kufikia uongozi
- Ushiriki wa wanawake katika uongozi si tu suala la haki na usawa bali pia huboresha utawala wenyewe
- Viunzi Virefu Vya Kuruka Vinavyowakamisha Wanawake Kuwa Viongozi
- Je, itungwe Sheria mpya kuwalinda Wanawake dhidi ya Unyanyasaji kipindi cha Uchaguzi?
- Ni Mwanamke gani ungependa kuona akishika nafasi ya Uongozi?
- Vyama vya Siasa ongezeni uwakilishi wa Wanawake kwenye nafasi za uongozi
- Je, mwanamke ni mtu duni wa fikra katika uongozi?
- Nafasi za uongozi kwa wanawake Zanzibar bado kitendawili
- Kwa namna gani Katiba za vyama zinatoa fursa kwa Wanawake kufikia 50/50 katika nafasi za uongozi?
- Ni wakati sasa wanawake waache kuwa wapambe wa wagombea na badala yake wawe washindani katika nafasi za uongozi
- Uwepo wa Dawati la Jinsia katika Vyama vya Siasa utasaidia kupunguza mazingira ya Rushwa ya Ngono
- Ukatili wa Kijinsia wakati wa uchaguzi unachangia kuzima ndoto za Wanawake kuwa viongozi Zanzibar
- Pre GE2025 Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje hawawezi kuongoza katika dini?
- Mitazamo chanya ya wanaume juu ya wanawake kushika nafasi za uongozi
JANUARI
- Pre GE2025 - Nafasi za wabunge 19 zingekuwa za wanaume CHADEMA isingepeleka watu? Wangefukuzwa kama ilivyokuwa kwa kina Mdee?
- Mifumo Dume bado ni changamoto kwa Wanawake katika Vyama vya Siasa Nchini
- Wabunge viti Maalum waliohudumu kwa miaka 10 wapishe wengine kuchochea mabadiliko chanya, wasiwe ving'ang'a
- Bahati Issa Suleiman: Wanawake wanaotaka kuingia kwenye Uongozi wasiwe na hofu, ni haki yao Kikatiba
- Ushiriki mdogo wa wanawake nafasi za Uongozi CHADEMA unakwamisha juhudi za kufikia usawa wa kijinsia kwenye demokrasia
- "Wanawake katika Uongozi ni chachu ya kufikia Dunia yenye usawa”
- Majukumu ya nyumbani kikwazo kwa wanawake kuingia katika uongozi Zanzibar
- Mikakati ya vyama vya siasa katika kuongeza Uwakilishi wa wanawake katika vyombo vya maamuzi
- Mwanamke gani mwingine anafaa kuwa Rais baada ya kupata mwongozo kutoka kwa Rais Samia?
- Wanaume tuwaunge mkono wenza wetu watakaogombea nafasi za uwakilishi uchaguzi mkuu
- Wanawake Dar kuandaa tukio kusherekea mafanikio ya Rais Samia
- Waziri Gwajima: Jamii iwape wanawake nafasi na sauti katika uongozi
- Shilole azindua mama lishe na Samia
- Mwenyekiti UWT Taifa: Lisu asiitishie serikali ya CCM "atulizane"
- RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake
- Siku ya Wanawake Duniani watumishi wasilazimishwe kununua vitenge vyenye picha ya Rais Samia, itakuwa uonevu
- Mapokezi ya Jesca Kishoa kwa wananchi Kata ya Nkalakala akiwa na vazi la kijani na kusindikizwa na nyimbo za CCM
- Baraza kuu la UWT Same lampongeza Rais Dkt. Samia
- Pre GE2025 - RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake
- Rais Samia afunguka ya Moyoni: Kuna waliosema tuna Rais wa kuambiwa afanye na mwenye maamuzi ya Kitchen Party, hatuna Rais tuna House girl
- Mavunde awakabidhi shamba la Zabibu Umoja wa mama wafanyabiashara wadogo zaidi ya 300 Dodoma
- Pre GE2025 - Mbunge wa Covid 19, Nusrat Hanje atangaza kugombea jimbo la zamani la Tundu Lissu, Singida Mashariki
- Wakili Mwanaisha Mndeme atangaza kugombea Ubunge jimbo la Kigamboni kupitia ACT Wazalendo. Ataweza kumrithi Ndugulile?
- Pre GE2025 - Mbunge wa Covid 19, Nusrat Hanje atangaza kugombea jimbo la zamani la Tundu Lissu, Singida Mashariki
- Sophia Simba: Wanawake waliokaa muda mrefu kwenye Viti Maalum waachie nafasi kwa vijana
- Shamira Mshangama atoa mchango wa tofali na saruji kwa ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Dodoma
- Dk Ave- Maria Semakafu: Ningetamani kuona Gen-Z (wanasiasa wanaochipukia) waende kwenye viti maalumu
- Devotha Minja: Miaka mitano inatosha viti maalumu
- Catherine Ruge: Mwanamke anaweza kushinda kura za maoni, lakini anaambiwa ampishe mwanamume ili yeye apewe viti maalumu
- Wakili Mpanju: Wanawake mjitokeze kugombea nafasi za uongozi kwenye Uchaguzi Mkuu
- Manispaa ya Singida yaadhimisha siku ya Wanawake kwa bonanza na ugawaji gesi
- Mbunge wa Temeke Dorothy Kilave ni ushahidi tosha kuwa Tundu Lissu alikuwa sahihi kuhusu sakata la Wabunge wa Viti Maalum
- Salma Kikwete: Wanawake tusifanye ajizi, rafiki wa mwanamke ni mwanamke. Tupige kura za kihistoria kwa Rais Samia
- Makongoro Nyerere: Wanawake jitokezeni kugombea nafasi mbalimbali za uongozi
- CCM Mvomero: Kugombea siyo nafasi za wanaume pekee
- Mabinti wa Vyuo Vikuu wajiunga na CCM, wakosoa nafasi ya wanawake Ndani ya CHADEMA
- Maelfu ya mabinti wa vyuo mkoani Mwanza wavutiwa na uongozi wa rais Samia, wameomba kukutana naye