Kipindi hiki nimemaliza chuo nawaza kuomba ajira..

Augustleo

Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
87
Reaction score
60
Kuna kiongozi mmoja nimesoma kwenye Jf kwamba inaishauri serikali wa kupunguza Asilimia 80 ya waajiriwa wa serikali kwamba hawana kazi zaidi ya kupiga umbea.. We are born in the wrong country at the wrong time. Juhudi zote ambazo watu wameziweka kwenye kujisomesha mwisho wasiku Unashindwa ku utilize wale watu wasomi uliosomesha??
when you think things are worse some one come to prove you wrong that situation can be worse than that. hii ni shiti gavamenti. [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…