Kipindi kipya kwenye television

ForeverMore

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2014
Posts
812
Reaction score
1,939
Mambo zenu. Nawaza kuhusu kuhamia kwenye kutengeneza vipindi kwenye television.

Najua faida inaweza patikana kwa matangazo na wadhamini. Kitu ambacho sina ni details ya kuwa vipindi vinaweza ingiza sh ngapi.

Kama kuna mtu anajua kwa uwakika zaidi faida ya kipindi chochote binafsi kinacho rushwa na tv ya hapa Tz anijuze tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…