Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Wanamajlis,
Katika kumkumbuka Baba wa Taifa nilitembelewa nyumbani na East
African Radio, Radio One Stereo, Raia Tanzania na Sibuka TV kwa
mahojiano.
Kikubwa walitaka kujua historia ya Baba wa Taifa wakati wa kupigania
uhuru wa Tanganyika.
Nakuwekeeni hapa chini kipande kidogo cha mazugumzo yetu:
Mohamed Said: KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA SIBUKA TV NYERERE DAY
Katika kumkumbuka Baba wa Taifa nilitembelewa nyumbani na East
African Radio, Radio One Stereo, Raia Tanzania na Sibuka TV kwa
mahojiano.
Kikubwa walitaka kujua historia ya Baba wa Taifa wakati wa kupigania
uhuru wa Tanganyika.
Nakuwekeeni hapa chini kipande kidogo cha mazugumzo yetu:
Mohamed Said: KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA SIBUKA TV NYERERE DAY