Mkuu wamelipia kama matangazo mengine ya biashara za makampuni binafsi.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mie naona sawa maana hata hilo shirika letu limeshakufa kwahiyo bomba tu.
Ningeweza kuwaelewa kama hicho kipindi kingeandaliwa na video production nyingine na kuja kurushwa tu TBC, ningeweza fikiri hivyo; lakini hapa TBC ndio wameandaa; watangazaji tunaowalipa mshahara kutokana na kodi zetu wameliponda shirika letu waziwazi.
View attachment 72752View attachment 72752
Nimeona TBC wameandaa kipindi maalumu kwa ajili ya utambulisho wa FastJet, ambapo walikuwepo waandishi wa habari na baadhi ya viongozi wa serikali. Hivi ni sahihi kwa TBC kuandaa/kuonyesha kipindi hiki ukizingatia kwamba tuna shirika letu la taifa la ndege. Hawa FastJet ni washindani wetu katika biashara, inakuwaje tunawapa promo washindani wetu. Je serikali ina hisa katika shirika hili? Halafu watanzania tunawaona hawa kama wakombozi wakati biashara ya budget airline ni kawaida na ipo duniani kote.
Mie naona sawa maana hata hilo shirika letu limeshakufa kwahiyo bomba tu.
.....MKUU nimeangalia TV yako nimeipendaaaaa..