Elections 2010 Kipindi maalumu kwenye ITV na Dk Slaa (Saa 9.30 hadi Saa 10.30)

Elections 2010 Kipindi maalumu kwenye ITV na Dk Slaa (Saa 9.30 hadi Saa 10.30)

Binti Maria

Senior Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
158
Reaction score
33
Kutakuwa na kipindi maalumu cha Dk Slaa katika ITV leo siku ya mwisho wa kampeni kuanzia saa 9.30 hadi saa 10.30 jioni. Katika kipindi hiki Dk Slaa atafanya majumuisho ya kampeni zake na kuwaomba tena watanzania wamchague hiyo kesho.

Awali kipindi hiki kilikuwa kirushwe kuanzia saa 11 hadi saa 12, lakini katika hali ya kushangaza, ghafla ITV wameomba radhi kwamba kipindi hiki hakiwezi kuonyeshwa katika muda uliokubaliwa awali. Habari zilizopo ni kwamba CCM wakiongozwa na Kinana wameenda leo asubuhi kuwaomba ITV wasionyeshe hicho kipindi katika muda huo na wakaomba ITV waungane naTBC kurusha mkutano wa JK live Jangwani. Safari ya ukombozi ni ndefu lakini lazima tuitembee.
 
Hata wasiporusha TAYARI TULISHAAMUA. Wale ni CELEBRITY waacheni bila kuonekana LUNINGANI hawajisikii .Hongera mzee Mengi kwa uzalendo wako nia yako imeonekana lakini umekatiriwa na GAIDI KINANA UKIMBISHIA YULE ATUKUTUMIA WASOMALI WATAKUMALIZA.

HATA HIVYO MAAMUZI YA WATANZANIA NI DR.SLAA niko Bukombe huku ni CHADEMA TUPU leo tumekesha tunahamasisha hatuna shida na TV coverage tunasubiri kesho tukamalize kazi
PEOPLEEEEEEEEE'S POWER
 
Kutakuwa na kipindi maalumu cha Dk Slaa katika ITV leo siku ya mwisho wa kampeni kuanzia saa 9.30 hadi saa 10.30 jioni. Katika kipindi hiki Dk Slaa atafanya majumuisho ya kampeni zake na kuwaomba tena watanzania wamchague hiyo kesho.

Awali kipindi hiki kilikuwa kirushwe kuanzia saa 11 hadi saa 12, lakini katika hali ya kushangaza, ghafla ITV wameomba radhi kwamba kipindi hiki hakiwezi kuonyeshwa katika muda uliokubaliwa awali. Habari zilizopo ni kwamba CCM wakiongozwa na Kinana wameenda leo asubuhi kuwaomba ITV wasionyeshe hicho kipindi katika muda huo na wakaomba ITV waungane naTBC kurusha mkutano wa JK live Jangwani. Safari ya ukombozi ni ndefu lakini lazima tuitembee.


CCM kweli Wamefulia hao.

Mabadiliko ya nchi yetu hayategemei vipindi vya TV.
 
Nasema muda huo situmwi dukani ili nimsikilize Dr. Slaa

Kama ITV wataonyesha mkutano wa CCM itabidi TV nizime maana molari utanipanda niipasue bure.
 
Ivi hawajui TV mostly wanaoangali ani watu wa mijini ambao wengi wao ni waelewa labda radio naweza elewa kama watangangania.
Ila Mengi nae si angewaambia kuwa uo mda uko booked!
CCM wanahaha tena am sure uko mbeya wanaweza ata kukata umeme
 
Wanajidanganya, watu wameshaamua na hizo sauti za jk zinaboa

wajiandae kuwa chama cha upinzani
 
Jamani tumeni SMS kuwaarifu watu watazame hiki kipindi nchi nzima. Hamasisheni kupitia wagombea wenu wa ubunge nao wahamasishe kupitia wagombea wa udiwani. Ni nafasi ya Slaa kufunga goli la penati
 
Nikiwa kinondoni manyanya nimeshuhudia dcm mbili zimebeba watoto wakiwa na tisheti mpya na bendera za sisiemu wakienda uelekeo wa jangwani.
SISIEMU bila kuwaghilibu watu haiwezi kupata waungaji mkono wake.

Lakini watoto hawapigi kura kesho labda wawe miongoni mwa watakaokuwa wachakachuliwaji kwenye kura
 
Hata wasiporusha TAYARI TULISHAAMUA. Wale ni CELEBRITY waacheni bila kuonekana LUNINGANI hawajisikii .Hongera mzee Mengi kwa uzalendo wako nia yako imeonekana lakini umekatiriwa na GAIDI KINANA UKIMBISHIA YULE ATUKUTUMIA WASOMALI WATAKUMALIZA.

HATA HIVYO MAAMUZI YA WATANZANIA NI DR.SLAA niko Bukombe huku ni CHADEMA TUPU leo tumekesha tunahamasisha hatuna shida na TV coverage tunasubiri kesho tukamalize kazi
PEOPLEEEEEEEEE'S POWER

Safi sanaaaa mkuu! Chademaaaaaaa!
 
Wakati huu ninapoandika Dr. Slaa anahutubia mamilioni Mbeya. Jiunge
 
Siyo Mbeya bana, ni clips za hotuba zake tv zimezuiwa na ccm kurusha live
 
Jamani mnaona mambo huko itv jamani mie nakaribia kulia kwa raha! The new hope is here
 
Duh natamani kweli ningeweza kuona hiyo, natafuta uali wa watito lakini, SLAAA JUUUUU!!! Jamani tafadhalini kesho mapemaaaa, tuwahi kuchukua ushindi wetu.
 
Back
Top Bottom