RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Haimhusu hiyoTuliahidiwa malipo ndani ya week mbili sasa inaenda miezi, huku ukitoa mapesa kwa taifa stars, roho inatuuma sana, na sisi tukumbuke.
View attachment 3157571
Watulipe pesa zetu.Hakuna jambo linanishangaza kama hili la kutokulipwa Hela zetu za mahindi,labda wameamua kutupunguza wakulima wamahindi ili njaa mwakani iwepo wakaombe msaada marekani,haiwezekani watu making wakazuia pesa za mkulima na msimu umeshaanza,Bashe naSilinde wanajua kuwa mvua zimeanza wanaona tunalalamika wamekaa kimya tu,huu ni utapeli,na ni nchi ya ajabu inayofikia mpaka kutapeli watu masikini wa mwisho,
Sio kidogo.Inafikirishaaa
Ndioo hivo tushaingia cha kike.Kwa huu uchumi wangu papatupapati siwezi kufanya biashara na serikali.
Kama ni mtaji wa kuungaunga usithubutu kufanya biashara na serikalu utajuta.