Kipindupindu miji ya Lusaka na Zimbabwe

Kipindupindu miji ya Lusaka na Zimbabwe

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Miji ya Lusaka na Zimbabwe imekumbwa na tatizo la kipindupindu. Mji wa Lusaka watu wanakufa na kipindupindu kama walivyokuwa wanakufa kipindi cha Corona.

Sijui ni mlipuko au ni Uchafu. Wajuzi wa Mambo tuelimisheni
 
Back
Top Bottom