KERO Kipindupindu Simiyu kimeshamiri, kinaua ni hatari! Mbona Serikali haiweki wazi 'status' ipoje?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Simiyu hawajengi vyoo, wanakunya porini

Wabishi

Lakini wanataka huruma
Suala la kunya kunya sababu hawana vyoo hilo sikupingi mkuu huko kweli wanakunya Machakani hawachimbi vyoo sasa mainzi mainzi wanafanya transmission of diseases with no excuse, kwa hio Serikali iangalie hili wasiochimba choo aidha wachimbiwe au walazimishwe kuchimba vyoo
 
Yaani uchimbiwe choo?? Hebu tuache ungese

Tunalea upuuzi…. Wanatia hasara kubwa serikali sababu ya uchafu
 
Yaani uchimbiwe choo?? Hebu tuache ungese

Tunalea upuuzi…. Wanatia hasara kubwa serikali sababu ya uchafu
Kwani ile Kampeni ya Mrisho MPOTO na Banana Zoro ya kuhusu Nyumba ni Choo iliishia wapi Singida au Manyoni?
 
Haisababishi kipindupindu
Nani kasema inasababisha kipindupindu? Kwanini umechagua kitu kimoja tu. Vipi nyama mbichi, maji machafu?

The point is they have certain immunity which you and i probably don't have. If you drink raw blood or eat raw meat you are likely to get serious reaction from parasites, bacteria etc
 
Hahahaha ngoja nicheke ukimaliza nionyeshe makaburi yao
Muulize mmasai yoyote kuhusu ninayokwambia. Wewe ulikuwa unabisha Wamasai kunywa raw blood. It is their tradition. The thing is you don't know that is their culture, but you still want to argue childish stuffs. I was talking about Masai have certain immunity which you and I don't have and that is self evident. Childish , pointless conversation.
 
Chimbeni vyoo.
Usafi wa chakula na vyombo muhimu.
Watu wajenge vichanja vya kuoshea na kuanikia vyombo.
Haya hayahitaji serikali.
Ynahitaji serikali na ndiyo maana tunakuwa na serikali. Watu wote hawako sawa kwa upeo wa kuelewa mambo. Na pia kuna wajinga ambao wanaweza kudharau na kukataa kuzingatia kanuni. Hawa wote wanahitaji serikali iwaweke sawa kwa kutumia mifumo iliyopo.
 
Kweli duniani kuna wapumbavu.
 
Ynahitaji serikali na ndiyo maana tunakuwa na serikali. Watu wote hawako sawa kwa upeo wa kuelewa mambo. Na pia kuna wajinga ambao wanaweza kudharau na kukataa kuzingatia kanuni. Hawa wote wanahitaji serikali iwaweke sawa kwa kutumia mifumo iliyopo.
Si wamepewa elimu na serikali wao au watoto wao ya kuwawezesha kutambua kanuni za usafi kuepusha magonjwa ya mlipuko? Wapuuzie wasubiri kushurutishwa wafe. Serikali haifi unakufa unaezembea.
 
Mwaka huu pindua pindua Iko Nchi nzima
 
Oya acha utani kipindupindu kisikie hivyo hivyo kinapita na watu, pharmacy zimejazwa oral kimya kimya pumbavu hawawatangazii watu km kuna kipindupindu tho kuna redio nilisikia imejilipua wakatangaza kuna kipindupindu na watu wanakufa
Naamini MillardAyo ataenda kufanya coverage
 
Utawasaidieje?
Mbona rahisi sana mkuu, haraka haraka

1.Toa ELIMU
2.Peleke maji ya uhakika
3. Hamasa juu ya usafi na matumizi ya choo
4.Fungua dispensary maeneo yenye mlipuko.
5.Toa ELIMU
6. Toa ELIMU
7. Toa ELIMU
Haya yote hata sio gharama kubwa hivyo, na hapa unawasidia binadamu wenzako. Hii ndiyo njia pekee ya kuona serikali inajali raia wake sio kudeal na vitu vyepesi vyepesi kama Simba na Yanga pamoja na burudani.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…