Kwa hiyo picha uliyoweka, she is cute na kaweka yote kimpangilio bila kupitiliza kujitoboa toboa. Ameenda "shule kimtindo!"
I don't see any harm in that, as long as mtu hazidisha na kuwa na matobotobo kila mahali sijui hamsini kwenye sikio moja na pua zote mbili kutobolewa huku nyusi zikiwa zimening'inizwa na mibangili lukuki, inakuwa haina kwere kabisa.
It is a style which has been in existence for yonks but now with an exaggerated sexy touch appended to it. It has appealed to many cultures before, Maasai, Wakurya to name but few have been and are still into it with a generous cultural acceptance from most of us.