Kipupwe hili kinamama vaeni basi skin tight

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Kwa Jiji la DSM sasa hali ya hewa ni ya upepo mkali sasa mama zetu dada zetu ebu mjaribu kubadilika kidogo vaeni nguo za kuwastiri upepo ukija ushauri tu,,,πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Ohoo kijana wa chaputa anaona picha za kuzitumia baadae zinakua nyingi hadi zinazidi uwezo wa uhifadhi wake kichwani πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Daa bro mpaka nacheka mwenyewe,leo nimeona live bila chenga skin tight ya HR wangu!!
 
Upepo wenye kasi kubwa ya 40km/hr unaweza kunyanyua hata vitu vizito!
 
Upumbavu mtupu!

Nimekimbilia kuangalia kumbe hakuna hata picha[emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…