Jeshi la Kujenga Uchumi
John Kaiba Ugali
Mwenzenu anamaanisha nyie mwamletea utani, acheni hizo mambo aiseeeJe Kuiba Ugonjwa?
ahsante wakili kwa kunisifia. poleni na mvua huko DarMkuu, dada NAHUJA amesema kweli. Ni Jeshi la Kujenga Uchumi. Ni kama Jeshi la Kujenga Taifa la huku Tanzania Bara.
Asante sana Dadaahsante wakili kwa kunisifia. poleni na mvua huko Dar
Majaribu @ work, hivi ni nani tanzania hii asiejua kirefu cha JKT/JKU.Mwenzenu anamaanisha nyie mwamletea utani, acheni hizo mambo aiseee
Si majaribuMajaribu @ work, hivi ni nani tanzania hii asiejua kirefu cha JKT/JKU.
Ulivyomfahamisha inatosha[emoji106]Si majaribu
Ndo huyo Tis hajui maana anataka kujuzwa, mjuzeni tafadhali
Umeona wap tuanzie hapoMsaad kirefu cha JKU
Johannes Kepler University, ipo AustriMsaad kirefu cha JKU
Wengine wahamiaji haramuMajaribu @ work, hivi ni nani tanzania hii asiejua kirefu cha JKT/JKU.
Inaweza kuwa JOMO KENYATA UNIVERSITYMsaad kirefu cha JKU