Kirefu na maaana ya LLB

Namimi nauliza nini maana ya hakimu msomi??

wanazuoni wasomi ni wanasheria tu...si is like this educated vs learned other professional they are just educated but lawyers,advocates, magistrate and judges are learned(wasomi) means they are better than the person who are just educated
 
wanazuoni wasomi ni wanasheria tu...si is like this educated vs learned other professional they are just educated but lawyers,advocates, magistrate and judges are learned(wasomi) means they are better than the person who are just educated

Really? How are they better?

How is a lawyer better than a rocket scientist or nuclear physicist?

How is a magistrate better than a brain surgeon or cardiologist?
 
Fool f**k you mjinga mkubwa wewe huna hata certificate unakuja kubishana na learned advocates&lawyerz wenye LL,B,LL,M,LL,D

Duuuh!! Hivi wewe ni lawyer kweli?? Au bado uko Chuo unasoma?

Huu kweli ni msiba kwakweli.
 
You are so dumb. Take your insults and shove them up your own ass.

Matusi yametoka wapi tena?

Dumb ----.

'Karucee' Silaha ya mjinga ni matusi. We umeulizwa swali jibu swali. Huo ndo uungwana na usomi. Lakini una behave kama wale wauza nyanya kule shimoni Kariakoo yet unajiita a learned brother!!!!
Bado tuna safari ndefu sana. I am really disappointed. Sijui Advocate kama huyu anaweza kushinda kesi kweli?!!!
 
Huna cha kuchangia wewe bhana hizi idea ni very complicated kwako wewe mimi huwaga naishangaaga sana hii milayman

'Odili Saimu' Ukishasema 'A layman' huna haja ya kumshangaa unless hujui nini maana ya layman. Hata wewe ni layman kwenye nyanja nyingine tofauti na hiyo sheria uliyosoma. Au unataka kutuaminisha kuwa you are a Jack of all trades?!! Kuelimika ni pamoja na kusaidia jamii inayokuzunguka otherwise huna tofauti na maelfu ya walio attend darasani wafaulu wakapata kazi lakini hawajaelimika. Wakati mwingine ni vizuri tukakaa kimya. Watu wanaweza kutuona tuna busara kuliko kuongea -----.
 
Mi napenda gudjets so any within your budget. Thank you.
 
in addition LL.B
Ni degree yenye heshima kuliko zote duniani

Ila siku hizi kibongo bongo nahisi kama ile hadhi ya juu waliyokuwa nayo watu waliosomea sheria haipo tena.sijajua tatizo ni nini?.uwepo wa vyuo vingi vinavyo toa LL.B na kusababisha LL.B holders wengi mitaani?.ukosefu wa ajira?.citizen's awereness of some basic rights and the civic education taught by opposition party like CHADEMA throughout the country?. legal knowledge found in google via an easy access of internet?.kiukweli hawa jamaa miaka ya nyuma walikuwa juu sana.kuanzia muonekano wao na uwezo wa kuchambua mambo.what's wrong learned brothers and learned sisters?.
 

Na watu kuchakachua sheria kama change,Ccm,usalama wa taifa,polis rushwa..vyoote vimerudisha nyuma hadhi. Hata huu mfumo wa "school of law" umeleta matabaka sana.
 
Mkuu nadhani vitu vinavo changia uwaone wa kawaida ni hivi
1 kuongezeka kwa wingu wa vyuo vinatoa degree ya sheria na hivo wahitimu kuwa wengi mtaaani.
2 ukosefu wa ajira naa kujuana..kunakofanya wahitimu wengi kuwa mtaani na hivo kufanya LL.B holder awe sawa na Bd.E make wapo hawana kazi.
3. Urahisi wa masomo siku hizi. Google imerahisisha sana kazi ivo wanafunzi wengi wanao graduate hawana elimu ya kile walicho kisomea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…