Kiroba

luebe

Member
Joined
May 31, 2013
Posts
20
Reaction score
0
Eti jamaa akipiga kiroba ana himili sana tendo la ndoa kuliko akiwa kawaida ni kweli......
..
 
Nijuavyo...kiroba hujenga 'fake confidence' sawa na ulevi mwingine, na kufanya mtumiaji adhani amekuwa mahiri zaidi kwa alifanyalo kumbe pengine sio. Subiri madoc waje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…