luebe Member Joined May 31, 2013 Posts 20 Reaction score 0 Jun 2, 2013 #1 Eti jamaa akipiga kiroba ana himili sana tendo la ndoa kuliko akiwa kawaida ni kweli...... ..
TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 11,763 Reaction score 11,873 Jun 2, 2013 #2 luebe said: Eti jamaa akipiga kiroba ana himili sana tendo la ndoa kuliko akiwa kawaida ni kweli...... .. Click to expand... Nenda kamuulize
luebe said: Eti jamaa akipiga kiroba ana himili sana tendo la ndoa kuliko akiwa kawaida ni kweli...... .. Click to expand... Nenda kamuulize
JamboJema JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 1,143 Reaction score 209 Jun 3, 2013 #3 Nijuavyo...kiroba hujenga 'fake confidence' sawa na ulevi mwingine, na kufanya mtumiaji adhani amekuwa mahiri zaidi kwa alifanyalo kumbe pengine sio. Subiri madoc waje
Nijuavyo...kiroba hujenga 'fake confidence' sawa na ulevi mwingine, na kufanya mtumiaji adhani amekuwa mahiri zaidi kwa alifanyalo kumbe pengine sio. Subiri madoc waje