JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Kirusi cha Maambukizi ya #COVID19 aina ya Delta kimesambaa kwa haraka na kuyafikia Mataifa 104. Inaelezwa kuwa kimefika hata kwenye mataifa mabayo yalionekana kuanza kupunguza kwa kiasi kikubwa kasi ya maambukizi
Mkuu wa Shirika la afya Duniani, Tedros Adhanom Ghebreyesus ameonya kuwa kieusi hiki kinaweza kuwa ndio kirusi tawala ndani ya muda mfupi
Kirusi cha Delta kimethibitika kusambaa hata kwenye mataifa ambayo tayari wamechanja wananchi wake kwa kiasi kikubwa sana
DALILI ZA KUWA UMEPATA KIRUSI CHA DELTA
Mkuu wa Shirika la afya Duniani, Tedros Adhanom Ghebreyesus ameonya kuwa kieusi hiki kinaweza kuwa ndio kirusi tawala ndani ya muda mfupi
Kirusi cha Delta kimethibitika kusambaa hata kwenye mataifa ambayo tayari wamechanja wananchi wake kwa kiasi kikubwa sana
DALILI ZA KUWA UMEPATA KIRUSI CHA DELTA