Kisa cha Chumvi na hatma yangu shuleni

Kisa cha Chumvi na hatma yangu shuleni

Mcheza Piano

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2024
Posts
562
Reaction score
1,339
Nilipokuwa shuleni, sikuzote niliketi karibu na dirisha na kutazama jiko la kantini! Siku moja Mwanamke anayepaswa kuandaa chakula siku hiyo kaweka chumvi kisha akatoka na kwenda zake, baada ya muda mfupi mwanamke mwingine kaja na kutaka kuweka chumvi nyingine, ndipo nilipo sahau kabisa kuwa nipo darasani nikapiga kelele "WAMESHAWEKA CHUMVI NYINGINE WEWE"

kitendo kilichofanya nifukuzwe shule bila kusikilizwa🤣

Cc: shemeji Lamomy
 
Ha ha ha ha yaani nimeimagine darasa lipo kimya afu inaskika sauti yako tu aisee,ila sijaona sababu ya wewe kufukuzwa shule mbona hilo ni kosa minor
 
Back
Top Bottom