kisa cha Docta na mnnua Viagra.

majogajo

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2011
Posts
317
Reaction score
44
Siku moja jamaa mmoja alienda kununua viagra( dawa za kuongeza nguvu za kiumea) kwenye duka fulani la madawa, bac kulikuwa na docta pale akampa dawa flani na akamwambia ile dawa angeweza hata kupiga bao 18 bila kuchoka ila itategemeana na nguvu ya binti atakae tembea nae na akamsisitiza kuwa kutumia hi dawai binti hawezi akakuacha hata mzazi wake akifanyaje kutokana na dozi atakayopewa. tena dokta akamuulza kijana anategemea kuwa na game lini, kijana akamjibu siku hiyohiyo baadae kidogo. hivyo dr. akamsisitiza kijana anywee hapopo, ili baada ya lisaa ianze mambo yake. kijana akatii na akanywa ile dawa. baada ya kijana kuondoka kulikuwa na jamaa mmoja akawa anmwambia dokta huyu kijana aliyetoka hapa huwa anatembea na binti yako. na wanapendana sana. dr. akavuta kumbukumbu binti yake alimuaga ataenda kumtembelea rafiki yake na anategemea atachelewa au atalala huko kabisa. ungekuwa wew ndo dr. ungefanya nn? ukizingatia viagra aliyonunua kijana ndo itaende kumtendea kaz binti yako?
 
Peleka kwenye jukwaa la jokes au chit-chat
 
hii stori ya zamani sana. Ur late mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…