Kisa cha familia ya Karl Bulla na Viktor Bulla wa Urusi inafanana na tukio la kutoweka kwa Ben Saanane?

Kisa cha familia ya Karl Bulla na Viktor Bulla wa Urusi inafanana na tukio la kutoweka kwa Ben Saanane?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Bulla_selfandsons.jpg

Miaka mia iliyopita kuna mpiga picha maarufu kule urusi aliitwa Karl Bulla alizaa mtoto naye akarithi fani ya baba yake ya photo journalism akiitwa Viktor Bula. Sasa huyu Viktor Bulla maudhui ya picha zake yakawa hayapendwi na serikali ya urusi ya wakati huo.

Alishtakiwa kwa kuwa mpelelezi nchini Ujerumani na baadaye aliuliwa.

Viktor Bula. RIP COMRADE.
 
Duh!.kumbe na watanzania wanapotea kunauwezekano 100% wanapotezwa kwenye vituo vya polizi?
Sijasema hilo mkuu ila kamsome karl bulla na victor bulla walipiga picha negative kwa wakati huo 1920+ negative laki moja na thelathini 130000.
 
Miaka mia iliyopita kuna mpiga picha maarufu kule urusi aliitwa kali bula alizaa mtoto naye akarithi fani ya baba yake ya photo journalism akiitwa vikta bula. Sasa huyu vikta bula maudhui ya picha zake yakawa hayapendwi na serikali ya urusi ya wakati huo.
Alishtakiwa kwa kuwa mpelelezi nchini Ujerumani na baadaye aliuliwa.
Victor Bula. RIP COMRADE.
Nadhani hiyo ingefaa zaidi kwa Azory Gwanda aliyekuwa Kibiti, ambaye ni mwandishi wa habari kuliko Saanane ambaye ni mwanasiasa.

Ova
 
Kukosoa serikali na viongozi wake waandamizi ni njia ya kurudi udongoni.
 
Kumbe haya majina ya kina Bula yana mizizi mirefu mpaka huko mana niliyaona sana haya majina kwa Wairaq
 
Watu wako tafu na wanashiriki vinavyoendelea maporini.
 
Back
Top Bottom