sangujoseph
Senior Member
- Nov 30, 2015
- 164
- 183
By Sangu J
Kama nilivyokiri awali kwenye Makala yangu kwamba mimi ni mshabiki mkubwa wa @wcb_wasafi na wasanii wote waliokuwepo humo, na kueleza mambo ambayo Harmonize ili aweze kufanya vizuri nadhani yalikuwa na umuhimu ya kufanya, ili aweze kupiga hatua kwa sasa kama ulikosa unaweza kurudi kwenye post zangu za nyuma, na kujisomea.
.
Leo kisa cha Harmonize kukimbia @wcb_wasafi iwe kwa wema au ubaya, lakini imenikumbusha kipindi ambacho @dogojanjatz ambaye aliamua kutoka chini ya mikono ya @madeeali na kuamua kwenda kujitafutia maisha yeye mwenyewe, na akakumbatiwa na mikono ya Ustadhi Juma na Musoma.
.
Nakumbuka kipindi hicho hakuna ambaye alikuwa hajui wapi ambapo Madee alikuwa amemtoa Dodo Janja, ambayo kimtazamo fulani inafanana na namna ambavyo @diamondplatnumz alimpata Harmonize na kuamini aingie ndani ya WCB.
.
Njia ambayo Dogo Janja, kwa wakati huo aliondoka kiuhalisia haikuwa nzuri ndiyo maana, hata alitoa wimbo wa Yamoyoni na kueleza mambo ambayo alikuwa akifanyiwa chini ya Madee, na kwenye nyimbo kundi ya Watasubiri bado Janjaro alitamba kwamba aliondoka chini ya Madee na alienda kwa Ostadhi Juma, kw ausafiri wa ndege.
.
Sasa turudi kwa Harmonize kwanza njia aliyoondoka nayo iliaminika kwamba ilikuwa ya amani sana pale WCB lakini kwa mazingira ya sasa inaonekana hali si shwari kabisa, kuna mahali kuna tatizo,
.
Mimi sina mashaka na kipaji cha Harmonize asilimia 100, ila tatizo ni aina ya Uongozi wake mpya aliokuwa nao, utamfanya afikie kule ambapo tulitegemea afikie, hata Janjaro alikuwa na kipaji kikubwa sana, ila tatizo ni menejiment aliyokuwa baada ya kutoka Madee ilishindwa kumfanya awe mkubwa hasa baada ya kushiriki ngoma mbili tu.
.
Sasa najiuliza kama kilichomkwamisha kipindi Kile Janjaro kilikuwa ni uongozi, sasa najiuliza je uongozi mpya wa Harmonize una uzoefu na kujua code za muziki wa Bongo, na je uzoefu huo ameupatia wapi, kwa wasanii gani, amba aliwahi kuwasimamiana walifanya vizuri sana Bongo.
.
Wote tunajua historia ya Mkubwa Fella na Babu Tale kwenye kusimamia wasanii na wengi wao mpaka sasa bado wanafanya vizuri, sasa je huyu wa Harmonize anaweza kweli, kumsaidia Harmonize kumpigisha hatua zaidi ya aliyofika akiwa chini ya WCB.
.
Muziki wa Bongo hauhitaji pesa ili upenye masikia ya watu inahitaji kujua mbinu tu, kwa sababu hata Otashi Juma alikuwa na pesa lakini alikosa mbinu za kumkuza Dogo Janja na baadaye alirudi kuomba msamaha, kwa Madee na alisemehewa.
.
Simuombei Harmonize kufeli lakini nadhani pia, hichi kisa cha Harmonize na Diamond Platnumz, kimenikumbusha kisa cha Dogo Janja na Madee.
.
#KijanaMzalendo
#WCBForLife
#MaoniYangu
Kama nilivyokiri awali kwenye Makala yangu kwamba mimi ni mshabiki mkubwa wa @wcb_wasafi na wasanii wote waliokuwepo humo, na kueleza mambo ambayo Harmonize ili aweze kufanya vizuri nadhani yalikuwa na umuhimu ya kufanya, ili aweze kupiga hatua kwa sasa kama ulikosa unaweza kurudi kwenye post zangu za nyuma, na kujisomea.
.
Leo kisa cha Harmonize kukimbia @wcb_wasafi iwe kwa wema au ubaya, lakini imenikumbusha kipindi ambacho @dogojanjatz ambaye aliamua kutoka chini ya mikono ya @madeeali na kuamua kwenda kujitafutia maisha yeye mwenyewe, na akakumbatiwa na mikono ya Ustadhi Juma na Musoma.
.
Nakumbuka kipindi hicho hakuna ambaye alikuwa hajui wapi ambapo Madee alikuwa amemtoa Dodo Janja, ambayo kimtazamo fulani inafanana na namna ambavyo @diamondplatnumz alimpata Harmonize na kuamini aingie ndani ya WCB.
.
Njia ambayo Dogo Janja, kwa wakati huo aliondoka kiuhalisia haikuwa nzuri ndiyo maana, hata alitoa wimbo wa Yamoyoni na kueleza mambo ambayo alikuwa akifanyiwa chini ya Madee, na kwenye nyimbo kundi ya Watasubiri bado Janjaro alitamba kwamba aliondoka chini ya Madee na alienda kwa Ostadhi Juma, kw ausafiri wa ndege.
.
Sasa turudi kwa Harmonize kwanza njia aliyoondoka nayo iliaminika kwamba ilikuwa ya amani sana pale WCB lakini kwa mazingira ya sasa inaonekana hali si shwari kabisa, kuna mahali kuna tatizo,
.
Mimi sina mashaka na kipaji cha Harmonize asilimia 100, ila tatizo ni aina ya Uongozi wake mpya aliokuwa nao, utamfanya afikie kule ambapo tulitegemea afikie, hata Janjaro alikuwa na kipaji kikubwa sana, ila tatizo ni menejiment aliyokuwa baada ya kutoka Madee ilishindwa kumfanya awe mkubwa hasa baada ya kushiriki ngoma mbili tu.
.
Sasa najiuliza kama kilichomkwamisha kipindi Kile Janjaro kilikuwa ni uongozi, sasa najiuliza je uongozi mpya wa Harmonize una uzoefu na kujua code za muziki wa Bongo, na je uzoefu huo ameupatia wapi, kwa wasanii gani, amba aliwahi kuwasimamiana walifanya vizuri sana Bongo.
.
Wote tunajua historia ya Mkubwa Fella na Babu Tale kwenye kusimamia wasanii na wengi wao mpaka sasa bado wanafanya vizuri, sasa je huyu wa Harmonize anaweza kweli, kumsaidia Harmonize kumpigisha hatua zaidi ya aliyofika akiwa chini ya WCB.
.
Muziki wa Bongo hauhitaji pesa ili upenye masikia ya watu inahitaji kujua mbinu tu, kwa sababu hata Otashi Juma alikuwa na pesa lakini alikosa mbinu za kumkuza Dogo Janja na baadaye alirudi kuomba msamaha, kwa Madee na alisemehewa.
.
Simuombei Harmonize kufeli lakini nadhani pia, hichi kisa cha Harmonize na Diamond Platnumz, kimenikumbusha kisa cha Dogo Janja na Madee.
.
#KijanaMzalendo
#WCBForLife
#MaoniYangu