ATRACURIUM
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 753
- 918
Kwangu huwa hakuna kazi duni!
Hivi, mtu anayekuhudumia mgahawani kwa nini umuone kuwa anafanya kazi duni?
Mimi mtu yeyote anayenipatia huduma yoyote ninayoihitaji namuheshimu sana.
hahhahha umenikumbusha yule mwanaume mmoja wa dar alimsema injinia mmoja hadi injinia akazirai, wanaume wa ukanda wa kuanzia pwani-dar wana midomo hatari.
Ndo maana nikampa hongera mkuu! Ana moyo wa kipekee sana!Me nisibgevumilia mpaka mwisho yan pale pale ningewapa mitusi na kuwajazia nzi, sipendag dharau za kiboya....na kwene vitu nisingewapeleka, dawa ya moto ni moto....mtoa mada mvumilivu sana aisee
Sent from my iPhone using JamiiForums
Daah laiti ungekuwa na muda ukawatafuta enzi hizo! Sipati pichaIla ujumbe wangu kwao uliwatosha sana,sukutaka maneno mengi ugenini
It's an absolutely true!niliambiwa na mama heshimu na ogopa sana mtu yeyote usiyemjua, be smart maana unaweza jiona ww mjanja kumbe huyo unayeona boya ni mjanja mara mia yako..never underestimate a stranger.
Ndo maana nikampa hongera mkuu! Ana moyo wa kipekee sana!
Ilikuwa mwaka Gan? Mm nipo germanNyani Ngabu, e wao kuona ni Watumishi wa umma,wana kazi bongo,kunikuta mie naosha vyombo ugenini na kuwa muhudumu mgahawani wakaona ni kazi duni sana.Nadhani toka siku ile walijifunza
Ilikuwa 1990's Mzee Ruksa anavyokaribia kuaga
Ha ha ha ha ha safi sana.Mimi nilitetwa kwenye daladala na wadada wawili, mtu na mdgo wake...siku hyo nlitoka kazn na overall...wakajua wakuja wakawa wanaongea kwa kingereza...mdg mtu anamwambia dada mtu hv unaeza kudate na jamaa mchafu kias ikii uku wanachekaa...nlichofanyaa nlishuka kituo walichoshuka nikawafuatilia mpaka wanapoenda...Saiv yule dada ni Mpenzi wangu...kila nikimkumbusha anaishia kucheka na kuona aibu tu
we hatari aise ukaamua kupindua meza.Mimi nilitetwa kwenye daladala na wadada wawili, mtu na mdgo wake...siku hyo nlitoka kazn na overall...wakajua wakuja wakawa wanaongea kwa kingereza...mdg mtu anamwambia dada mtu hv unaeza kudate na jamaa mchafu kias ikii uku wanachekaa...nlichofanyaa nlishuka kituo walichoshuka nikawafuatilia mpaka wanapoenda...Saiv yule dada ni Mpenzi wangu...kila nikimkumbusha anaishia kucheka na kuona aibu tu