Kisa cha Kweli: Sitasahau nilivyopendwa na mchawi nikaishia kurogwa


TAARIFA: Nimezungumza mida hii na mleta story wetu anasema katika siku mbili tatu hizi hajawa poa kiafya na ni lazima tufahamu yeye sio robot. Pia amesema kama hampendi kusubirishwa mngesubiri hadi story ikaisha ndio mkaanza kuisoma. Nawasilisha
 
TAARIFA: Nimezungumza mida hii na mleta story wetu anasema katika siku mbili tatu hizi hajawa poa kiafya na ni lazima tufahamu yeye sio robot. Pia amesema kama hampendi kusubirishwa mngesubiri hadi story ikaisha ndio mkaanza kuisoma. Nawasilisha
Maringo au sio

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
TAARIFA: Nimezungumza mida hii na mleta story wetu anasema katika siku mbili tatu hizi hajawa poa kiafya na ni lazima tufahamu yeye sio robot. Pia amesema kama hampendi kusubirishwa mngesubiri hadi story ikaisha ndio mkaanza kuisoma. Nawasilisha
Acha uongo hahahaha!

Nina changamoto lakini sio ya kiafya. Maeneo niliyopo umeme wa shida naingia JF kwa kuibia kisa chaji.

Kesho tutaendelea, sorry for disturbance.
 
Acha uongo hahahaha!

Nina changamoto lakini sio ya kiafya. Maeneo niliyopo umeme wa shida naingia JF kwa kuibia kisa chaji.

Kesho tutaendelea, sorry for disturbance.
Uhakika mjuba, maana unatupanga mno. Kesho zimekuwa nyingi mno.
 
TAARIFA: Nimezungumza mida hii na mleta story wetu anasema katika siku mbili tatu hizi hajawa poa kiafya na ni lazima tufahamu yeye sio robot. Pia amesema kama hampendi kusubirishwa mngesubiri hadi story ikaisha ndio mkaanza kuisoma. Nawasilisha
Mwambie tunamuombea afe tu maana hata story yake hatuitaki tena
 
Pitia link hio


 
ni nzuri pia, lakini jamaa hakuimalizia bwana,yani hawa watu sijui vipi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…