Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Inasemekana Langa alikuwa miongoni mwa "WACHOYO WA KOLABO" na hata ile NINAPOSIMAMA, Chid alimchana akiwa booth kwa Lamar na Dunga na kusema, sikubali, mtu gani unafanya ngoma mwenyewe tu, hii, tunafanya wote na ndipo akaja na " ONE TO ONE NA AMBII KA REFARII, RECORD HII YA 41" Ebana ee!! Hii ilikuwa Bonge la ngoma.
Chid Benz Ali-flow kwa umakini na kunata na beat ni moja ya kolabo nzurii kwenye TANZANIA HIP-HOP
Unamkumbuka zaidi chid Benz au langa kwa ngoma gani? Zaidi.
Je, Langa na Chid Benz wameacha alama gani ambazo zinafanya usiusahau uwepo wao kwenye game?
Chid Benz Ali-flow kwa umakini na kunata na beat ni moja ya kolabo nzurii kwenye TANZANIA HIP-HOP
Unamkumbuka zaidi chid Benz au langa kwa ngoma gani? Zaidi.
Je, Langa na Chid Benz wameacha alama gani ambazo zinafanya usiusahau uwepo wao kwenye game?