Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Bonge la ngoma piaChidi Beenz namkumbuka kwa ngoma yake ya Hasira za nini
Jamaa alikua conshaz Sanaa π walipenda kumwita mtoto wa kishua..Ukibaki bongo hupati michongo
Ukikimbilia ulaya unaishia kuosha vyombo
Ebhanaeee Langa RIP
Langa ni mtoto wa kishua,kwao pale Tips mikocheni Ile gorofa la pembeni.Jamaa alikua conshaz Sanaa π walipenda kumwita mtoto wa kishua..
R.i.p
Langa kileo
π Jamaa alikua ana mashair mazuri SANAA..Mitaa inaniamini kama kiongozi wa dini,mimi ghetto super star ukombozi wa nini? Ukitaka kumficha mwafrika weka ujumbe kwenye vitabu mimi natumia mziki kufikisha ujumbe kwa watu ,usitembee peku peku bila kuvaa viatu.
Ni kwel hata school alisomea NJE.. hata jay mo aliwai kumuelezea langa kileo..Langa ni mtoto wa kishua,kwao pale Tips mikocheni Ile gorofa la pembeni.
π Jamaa alikua ana mashair mazuri SANAA..
Aliwai kusema "KIINGEREZA BILA HELA NI SAWA NA KUPIGA KELELE""
Babu zetu waliondoka kwenda ulaya wanaliaShukrani kwa nyerere alicheze utadhani pele kuendeleza kiswahili mikoani na mbelembele tunamfagilia mzungu wakati tuna shida tele.