Kisa cha limbwata na madhara yake

Nimesumbuka kusoma maelezo yako nikijua kuna la maana kumbe unajipalilia upate wateja wa kutibu kishirikina?kama story ingekua ya kweli unamlaumuje mganga wa jadi na kuwasihi watu wasiende huko huku ukiweka namba za simu?tena story ilivyoishia ya kuisema nguvu ya MUNGU jinsi ilivyo umeshindwa kuitetea na badala yake umeipalaza palaza tu.binadamu bwana sijui mkoje
 
ungekuwa uja feli na mambo hayo unge endelea mpaka kifo chako.mimi naona utalipwa hapa hapa dunia hata kama umeokoka
 
Maisha ya kichawi yana muda na gharama zake,ila maisha ya yesu hayana gharama wala muda,,,,,,muamini yesu uishi kwa amani na afya milele
 
huoni kuwa kwa kuweka namba yake una mpigia promotion? unatupa waswas inawezekana bado shetani anakutumia. na hapa upo katika katenda kazi za shetani. unaweka namba za simu halafu unasema msimpigie? hilo ni pepo.hukupaswa kuweka nmba yake ya simu.

 
Duuu hizi mambo kumbe zipo???[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mama nakupongeza kwa kumpokea Bwana Yesu. Tahadhari tu ni kwamba uzoefu wangu unanionyesha kuwa wengi waliokuwa wachawi kabla ya kuokoka, wanaendelea kuwa wachawi hata baada ya kuokoka. Na wengi wao wanaingia Kanisani ili wajifiche humo, wasije wakajulikana kuwa ni wachawi. I hate their habit, but I love them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…