errymars
Member
- Dec 17, 2019
- 98
- 285
Mwanamke mmoja wa miaka 40 wa huko marekani aliyekua akifanya kazi ya kupiga deki na kusafisha hotel moja ijulikanayo kama LAS VEGAS HOTEL,
Aliibia kondom iliyotumiwa na bilionea mmoja aliyetembelea hotel hiyo na kufanya mapenzi na mwenza wake aliyekuja na ye pale kisha wakaiacha kondom chumbani ikiwa na manii mwanamke huyo msafisha hotel aliichukua kondom na kujimiminia manii yaliyokua kwenye kondom hiyo
Alipata ujauzito na baadae alijifungua salama na akaenda mahakamani kudai child support toka kwa billionea aliye acha kondom kwenye ile hotel,bilionea alikataa lakini baada ya vipimo vya vinasaba ikagundulika kua kweli mtoto alikua wake na mwanamke alishinda kesi hivyo jamaa aliamuliwa kutoa pesa za matumizi kwa mama yule ili kumlea mtoto.
Aliibia kondom iliyotumiwa na bilionea mmoja aliyetembelea hotel hiyo na kufanya mapenzi na mwenza wake aliyekuja na ye pale kisha wakaiacha kondom chumbani ikiwa na manii mwanamke huyo msafisha hotel aliichukua kondom na kujimiminia manii yaliyokua kwenye kondom hiyo
Alipata ujauzito na baadae alijifungua salama na akaenda mahakamani kudai child support toka kwa billionea aliye acha kondom kwenye ile hotel,bilionea alikataa lakini baada ya vipimo vya vinasaba ikagundulika kua kweli mtoto alikua wake na mwanamke alishinda kesi hivyo jamaa aliamuliwa kutoa pesa za matumizi kwa mama yule ili kumlea mtoto.