Brothers Karamazov
Senior Member
- Jul 13, 2023
- 152
- 393
Niko matembezini Tabora, kwenye kijiwe kimoja Nimekutana na Mzee mmoja mstaafu anaitwa Mzee Moshi, amenipa kisa kimoja.
Kuna Rubani shujaa sana wa kitanzania Brigedia Shimani (sina hakika kama jina nilimuelewa vyema). Huyu aliaangamiza wanajeshi wa Amini, kiasi cha kupongezwa kwa upekee na Mwalimu Nyerere.
Miaka ya 80, kuna mwamba akamfuata kambini kumuuzia Almasi, Shimani kazinunua.
Kwa muda wake akampelekea muhindi.. kaambiwa hizi ni chupa sio almasi. Chukua nyundo gonga, Zikavunjika.
Shimani akarudi kambini, na kisha kuelekea maeneo ya Ng'ambo kumsaka tapeli wake.
Kufika, mke anadai mmewe hayupo. Karudi tena baadae, hayupo. Akafupisha safari, Akalamba shaba mke na mtoto, na kurudi mes kula beer.
Police kutokana na cheo chake kijeshi, walishindwa hii kesi. Jeshi HQ wakamuita, kwa heshima yake walimuhifadhi huko.
Kwa mnaofahamu kisa hiki, huyu Rubani aliitwa nani? Yupo hai? Kesi ilimuandama ama ndio iliishia hewani?
Kuna Rubani shujaa sana wa kitanzania Brigedia Shimani (sina hakika kama jina nilimuelewa vyema). Huyu aliaangamiza wanajeshi wa Amini, kiasi cha kupongezwa kwa upekee na Mwalimu Nyerere.
Miaka ya 80, kuna mwamba akamfuata kambini kumuuzia Almasi, Shimani kazinunua.
Kwa muda wake akampelekea muhindi.. kaambiwa hizi ni chupa sio almasi. Chukua nyundo gonga, Zikavunjika.
Shimani akarudi kambini, na kisha kuelekea maeneo ya Ng'ambo kumsaka tapeli wake.
Kufika, mke anadai mmewe hayupo. Karudi tena baadae, hayupo. Akafupisha safari, Akalamba shaba mke na mtoto, na kurudi mes kula beer.
Police kutokana na cheo chake kijeshi, walishindwa hii kesi. Jeshi HQ wakamuita, kwa heshima yake walimuhifadhi huko.
Kwa mnaofahamu kisa hiki, huyu Rubani aliitwa nani? Yupo hai? Kesi ilimuandama ama ndio iliishia hewani?