Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Likizo niliambiwa this time unaenda kumsalimia bibiyo. Nikaona si Issue....nikabadili mazingira huko Morogoro.
Basi nikaenda kule kijijini nlikuwa gumzo miaka hiyo nimepiga pamba kali nimeweka na plata shavuni kama Nelly.
Basi walikuwepo watoto wakali sana ila mimi domo zege halafu sina mkwanja. Wale washkaji wa vijijini wanakata sana mkwanja hasa wakati wa mavuno au wakitoka mnadani. Mimi maneno maneno tu na show off kibao.
Nikamtokea demu mmoja pale kijijini alikuwa na wenzie watatu wao na maslay queen huko Mbwinde. Akakubali. Basi siku ya kwenda kumla nikavaa shanga (nlichukuaga shanga za demu wangu wa town) ....tumevua nguo....akanicheck akashtuka...nikamwambia atulie tu aone kazi yake...nikamchapa nao kinyama.akaondoka na mchanganyiko wa mawazo game kaipenda ila anashangaa mwanaume kuvaa shanga.
Kumbe akaenda waambia wenzie. Wakabishana sana, Mmoja naye akajirengesha...nikaenda kumla ghetto la mshkaji mmoja naye pale kijijini ndo alikuwa hendisamu. Siku hiyo sikuvaa shanga. Yule demu alikuwa ananitizama kama anataka kusema kitu. Ananyamaza. Alipoondoka akaenda mshambulia yule wa kwanza kuwa si kweli Jay havai shanga. Mbona yeye hakuziona.
Yule wa kwanza akasema labda hujatiwa na Jay wewe. Jay anavaa shanga muda wote. Wa tatu akaona naye aje aprove. Nikamwalika ghetto nikavaa siku hiyo nikampiga miti sana. Akaondoka na kwenda sema kwa yule wa pili kuwa ni kweli Jay anavaa shanga. Ikaleta mgogoro sana. Wa nne akaona naye aje aprove. Sikuvaa nikamchapa nao kavu.
Akapeleka report kwa wenzie... Ikaleta mgogoro sana siku hiyo wanachambana kumbe wazazi wamewasikia...kuuliza ugomvi nini ndo kujua chanzo ni mimi. Wakafunga safari wamama wawili na binti zao hadi kwa bibi. Kumsimulia ile issue.
Bibi alini mind sana na kunitaka niache uhuni. Nashukuru hakuwaambia wazazi likizo ilipoisha nikarudi zangu town. Jana nimekutana na yule dada wa kwanza kabisa kumla. Amina. Nimeshangaa nahudumiwa kwenye mgahawa ananiambia...."wewe siyo Jay Malaya wewe?" Nikashtuka.... Kumcheck ndo yeye.... Nlipatwa na mshtuko sana.
Tukapiga stories ndo kunikumbushia nlivyo mla yeye na wenzie watatu kipuuzi sana. Akaniuliza hivi bado unavaa shanga....? Nikamwambia hilo sitomjibu aje ahakikishe kwa macho. Alinitizama akasonya ..... "Nyooooo...mbwa wewe hujaacha tu umalaya wako siji....unataka unito***e tena"
Basi nikaenda kule kijijini nlikuwa gumzo miaka hiyo nimepiga pamba kali nimeweka na plata shavuni kama Nelly.
Basi walikuwepo watoto wakali sana ila mimi domo zege halafu sina mkwanja. Wale washkaji wa vijijini wanakata sana mkwanja hasa wakati wa mavuno au wakitoka mnadani. Mimi maneno maneno tu na show off kibao.
Nikamtokea demu mmoja pale kijijini alikuwa na wenzie watatu wao na maslay queen huko Mbwinde. Akakubali. Basi siku ya kwenda kumla nikavaa shanga (nlichukuaga shanga za demu wangu wa town) ....tumevua nguo....akanicheck akashtuka...nikamwambia atulie tu aone kazi yake...nikamchapa nao kinyama.akaondoka na mchanganyiko wa mawazo game kaipenda ila anashangaa mwanaume kuvaa shanga.
Kumbe akaenda waambia wenzie. Wakabishana sana, Mmoja naye akajirengesha...nikaenda kumla ghetto la mshkaji mmoja naye pale kijijini ndo alikuwa hendisamu. Siku hiyo sikuvaa shanga. Yule demu alikuwa ananitizama kama anataka kusema kitu. Ananyamaza. Alipoondoka akaenda mshambulia yule wa kwanza kuwa si kweli Jay havai shanga. Mbona yeye hakuziona.
Yule wa kwanza akasema labda hujatiwa na Jay wewe. Jay anavaa shanga muda wote. Wa tatu akaona naye aje aprove. Nikamwalika ghetto nikavaa siku hiyo nikampiga miti sana. Akaondoka na kwenda sema kwa yule wa pili kuwa ni kweli Jay anavaa shanga. Ikaleta mgogoro sana. Wa nne akaona naye aje aprove. Sikuvaa nikamchapa nao kavu.
Akapeleka report kwa wenzie... Ikaleta mgogoro sana siku hiyo wanachambana kumbe wazazi wamewasikia...kuuliza ugomvi nini ndo kujua chanzo ni mimi. Wakafunga safari wamama wawili na binti zao hadi kwa bibi. Kumsimulia ile issue.
Bibi alini mind sana na kunitaka niache uhuni. Nashukuru hakuwaambia wazazi likizo ilipoisha nikarudi zangu town. Jana nimekutana na yule dada wa kwanza kabisa kumla. Amina. Nimeshangaa nahudumiwa kwenye mgahawa ananiambia...."wewe siyo Jay Malaya wewe?" Nikashtuka.... Kumcheck ndo yeye.... Nlipatwa na mshtuko sana.
Tukapiga stories ndo kunikumbushia nlivyo mla yeye na wenzie watatu kipuuzi sana. Akaniuliza hivi bado unavaa shanga....? Nikamwambia hilo sitomjibu aje ahakikishe kwa macho. Alinitizama akasonya ..... "Nyooooo...mbwa wewe hujaacha tu umalaya wako siji....unataka unito***e tena"