Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Tuelekee moja Kwa moja mpaka Misri, hapa tunakutana na marafiki na majirani wawili ambao walikuwa wanapendana Sana na kuheshimiana Sana.
Bwana mmoja alikuwa na mtoto WA kike na mwingine WA kiume,basi Maisha yanasonga mbele,kwakuwa walikuwa majirani Wazuri na marafiki pia,wakataka urafiki wao uende mbali zaidi Kwa kuunganisha undugu WA ndoa.
Hivyo bwana mwenye mtoto wa kijana wa kiume akatoa mahari kabisa ili baada ya miaka kadhaa baada ya vijana kumaliza masomo Yao basi wafunge ndoa. Sasa kadri binti alivyokuwa anakuwa alikuwa ananoga Sana yaani/ anavutia na kuwa mrembo Sana.
Basi wazazi wa binti wakaingia tamaa na kupokea posa toka Kwa watu wengine huku wakisahau au kupuuza makubaliano Yao ya awali na jirani Yao. Basi bwana mwenye kijana wa kiume baada ya kupata habari Akaona isiwe tabu wala haina haja ya kuvunja urafiki na ujirani Kwa mambo kama hayo.
Ila alichotaka ni kurudishiwa Tu mahari yake, lahaula! Bwana mwenye binti Kwa USO mkavu kabisa akasema Mimi sina mahari yako au Kwa maana nyingine hukunipa mahari yoyote Ile,basi malumbano yakaendelea mpaka kifikishana mahakamani.
Kama unavyojua mwenye Kisu kikali ndio hula nyama, upande wa binti walikuwa vizuri kwahiyo swala la kuhonga mahakama na kupindisha sheria yani sio ishu kabisa,nadhani haya mambo tunayafahamu Sana Tu na sio mageni kwenu unless uwe umekuja kutoka sayari ya mars.
Baada ya kesi mwenye binti kashinda na kibaya zaidi baada ya kutoka nje ya ukumbi WA mahakama akaanza kujidai kwamba yeye ndio jembe na hakuna ambaye anaweza kumtetemesha.
Bwana aliyeshindwa kesi yeye akanyanyua mikono juu na kumwambia Allah " ewe Mola wangu huyu amenidhulumu naomba umuonyeshe nguvu zako"
Kama wanavyosema waswahili Mungu si Ertugrul bey, basi bwana hakika dua ya mtu anaye dhulumiwa haina pazia hiyo hujibiwa chap Tu ni swala la Mda Tu, yaani hata wewe ebu jitathimini sometime unalalamika mambo magumu lkn huenda ulidhulumu huko nyuma na ukasahau hivyo unalipia dhuluma zako,rejesha haki za wenyewe halafu trust me utaona mambo yanaenda Sawa.
Anyways tuendelee na ishu yetu,basi bwana Yule binti akapata ugonjwa usio eleweka,bwana akiwa viwanja vya mahakama akapata news mara chap home,kwenda hospital binti kafariki, ndani ya siku mbili tatu Baba mtu naye kapata ugonjwa kama WA binti yake naye siku mbili tatu chap kafariki,wakiwa Makaburini wanazika huku home ukuta WA nyumba umekatika nusu,yaani ni varangati mwanzo mwisho.
Kamwe hata siku moja usidhulumu haki za watu,kwani hakika dua ya mtu ambaye amedhulumiwa huwa majibu yake huwa chap Sana.
Ni hayo Tu!
baby zu
Bwana mmoja alikuwa na mtoto WA kike na mwingine WA kiume,basi Maisha yanasonga mbele,kwakuwa walikuwa majirani Wazuri na marafiki pia,wakataka urafiki wao uende mbali zaidi Kwa kuunganisha undugu WA ndoa.
Hivyo bwana mwenye mtoto wa kijana wa kiume akatoa mahari kabisa ili baada ya miaka kadhaa baada ya vijana kumaliza masomo Yao basi wafunge ndoa. Sasa kadri binti alivyokuwa anakuwa alikuwa ananoga Sana yaani/ anavutia na kuwa mrembo Sana.
Basi wazazi wa binti wakaingia tamaa na kupokea posa toka Kwa watu wengine huku wakisahau au kupuuza makubaliano Yao ya awali na jirani Yao. Basi bwana mwenye kijana wa kiume baada ya kupata habari Akaona isiwe tabu wala haina haja ya kuvunja urafiki na ujirani Kwa mambo kama hayo.
Ila alichotaka ni kurudishiwa Tu mahari yake, lahaula! Bwana mwenye binti Kwa USO mkavu kabisa akasema Mimi sina mahari yako au Kwa maana nyingine hukunipa mahari yoyote Ile,basi malumbano yakaendelea mpaka kifikishana mahakamani.
Kama unavyojua mwenye Kisu kikali ndio hula nyama, upande wa binti walikuwa vizuri kwahiyo swala la kuhonga mahakama na kupindisha sheria yani sio ishu kabisa,nadhani haya mambo tunayafahamu Sana Tu na sio mageni kwenu unless uwe umekuja kutoka sayari ya mars.
Baada ya kesi mwenye binti kashinda na kibaya zaidi baada ya kutoka nje ya ukumbi WA mahakama akaanza kujidai kwamba yeye ndio jembe na hakuna ambaye anaweza kumtetemesha.
Bwana aliyeshindwa kesi yeye akanyanyua mikono juu na kumwambia Allah " ewe Mola wangu huyu amenidhulumu naomba umuonyeshe nguvu zako"
Kama wanavyosema waswahili Mungu si Ertugrul bey, basi bwana hakika dua ya mtu anaye dhulumiwa haina pazia hiyo hujibiwa chap Tu ni swala la Mda Tu, yaani hata wewe ebu jitathimini sometime unalalamika mambo magumu lkn huenda ulidhulumu huko nyuma na ukasahau hivyo unalipia dhuluma zako,rejesha haki za wenyewe halafu trust me utaona mambo yanaenda Sawa.
Anyways tuendelee na ishu yetu,basi bwana Yule binti akapata ugonjwa usio eleweka,bwana akiwa viwanja vya mahakama akapata news mara chap home,kwenda hospital binti kafariki, ndani ya siku mbili tatu Baba mtu naye kapata ugonjwa kama WA binti yake naye siku mbili tatu chap kafariki,wakiwa Makaburini wanazika huku home ukuta WA nyumba umekatika nusu,yaani ni varangati mwanzo mwisho.
Kamwe hata siku moja usidhulumu haki za watu,kwani hakika dua ya mtu ambaye amedhulumiwa huwa majibu yake huwa chap Sana.
Ni hayo Tu!
baby zu