Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa



Ungetumia akili hii ku analyse mambo ya siasa, wewe ni bonge la mwandishi, very good, detailed analysis......

Short, but clear ingawa sijawahi jua chochote kuhusu yeyote, nimejua history, current status na what to expect.
 
Unazungumzia band na nyimbo za juzi ...kwanza tumia akili Ray c alikuwa na swaga kitambo ni mtoto wa mjni anajua kucheza na video ,jaydee bado ni mshamba kwa Ray c huo ndio ukweli.

Katika level za mziki Ray c alikuwa moto hata wasanii wa kike walikuwa wanampenda kama role model wao .
 
Hao bifu lao la muda mrefu sana.
 
RayC naye amejishtukia tu. Mbona jide ni rafiki mkubwa tu wa TID ambaye naye ashatumia madawa. imenifanya niingize spotify kusikiliza nyimbo za jide
Aishwarya Rai kaachika huko kwa Abhishek ,umesikia?

Sababu kuu inasemekana Jaya Batchan amechangia kwa kiasi kikubwa ,Aishwarya na Jaya walikuwa na mgogoro kwa muda mrefu uliopelekea wasisemeshane mtu na mkwewe kwa muda mrefu.

Hivyo ikawa ngumu kwa Abhishek achague aegemee wapi kwa mke au mama yake mzazi.

Ikumbukwe pia, chaguo la Aishwarya kwa kiasi kikubwa ilichangiwa na Amitha Batchan ,Amitha hakutaka mwanaye amuoe Karisma Kapoor ,familia hizi mbili hazikuwa na maelewano mazuri hivyo Amitha akaongea na familia ya Aishwarya mwanaye amuoe Aishwarya
 
Bila shaka wewe ni hiki kizazi cha 2000.
Jay dee hana ukongwe huo toa porojo zako anatoka hapa watu washafanikiwa ,anajikomba kwa malengend wakina sugu na professor j.

Ray c anaenda kushoot video london huyo jaydee bado anashoot video na nguo za mtumba ,wewe ulimpenda kwa vile ulikuwa upo kijijini kwenu basi huku mjini hakuwa na swaga.
 
Sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…