Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Jay dee alimzidi Ray c kweny tunzo kwa sababu Ray c alikuwa mtoto wa mjini anayefanya mziki kwa starehe sio kazi kama walivyo wasanii wengi wa kipind ,kam ulikuwa hujui wasanii wengi walikuwa wanafanya mziki kwa umaarufu ili wapush dili zao nyingi ila sio kazi ya kudumu.Sawa.
Yaani Malow amejua kumzeesha wako na watoto 5 huko bagamoyoBesta alikuwa ana kata kiuno hatari, ila sura mbovu.
Tena siku hizi mmama wa watoto watano kama sio sita ndio kabisa kazidi kuchunda.
Yaani Malow amejua kumzeesha wako na watoto 5 huko bagamoyo
Huyo huwa anaimba ngoma za kienyeji za kijitaJaydee bado yupo sana.
Kuna ngoma huenda akaachia kabla ya mwaka kuisha au mwanzoni mwa mwaka ujao.
HUyo mwenye Joho ni nani?Bifu lilianzia baada ya hii interview aliyofanyiwa Chid Benz ,Chid alishauri Lady Jaydee akaimbe Gospel miaka miwili akae sawa ndipo arudi tena kwenye bongo fleva .
View attachment 2843396
Sasa lady Jaydee aliona kama hii dharau fulani hivi akajibu mashambulizi 👇👇👇👇👇
View attachment 2843397
Ikumbukwe Lady Jaydee na Chid Benz walishawahi kuwa na bifu miaka hiyo ya nyuma mpaka ikapelekea Lady Jaydee kumfuta na kufuta verse alizofanya Chid Benz kwenye video ya wimbo wa UPO JUU japo si Chid wala Lady Jaydee aliyejitokeza kujibu sababu haswa ilikuwa ni Nini japo habari za chini chini inasemekana Chid akimtongoza Lady Jaydee,Lady Jaydee akaona kama kavunjiwa heshima na Chid ukizingatia amemuacha kiumri mbali sana.Lakini wengine wanadai Chid alimvimbia Lady Jaydee kuna baadhi ya gharama za ziada alikuwa anahitaji ikiwemo nguo za kushutia video,nauli nk maana kipindi hicho alienda Kenya kwenye show ,,Jide akaona isiwe shida akamfuta.
Twende kazi,
Ikumbukwe pia Chidi siku za hivi karibuni amekuwa mtu wa malalamiko kila kukicha akilaumu wasanii wenzake kutomsaidia, mara amlaumu Diamond anarudisha wasanii wenzake nyuma maana anapenda kusujudiwa ,mara amlaumu Manara nk
Tazama moja ya video yake hapa chini 👇👇👇👇
View attachment 2843405View attachment 2843406
Sasa ghafla bin vuuuu 😂😂😂naona Ray C katoka huku mafichoni kaja kununua ugomvi kana kwamba ujumbe wa Lady Jaydee ulikuwa unamuhusu yeye.
Ray C akarusha kijembe kwa Jide kwamba heri ya yeye mla unga lakini amezaa kuliko Jide ambaye ni tasa.
Tazama hapa 👇👇👇👇
View attachment 2843408
Baada ya hicho kijembe Cha Ray C ,Jide akaja tena kujibu mashambulizi .
Tazama tena 👇👇👇👇
View attachment 2843410
Mashabiki nao hawakuwa nyuma ,wametoa nao michango yao.
Tazama 👇👇👇
View attachment 2843411
View attachment 2843413
Ikumbukwe bifu la Jaydee na Ray C lilidumu kwa muda mrefu kipindi hicho sababu kuu inayoaminika na wengi ilikuwa kugombania kuwa juu kila mmoja kuona yupo juu kuliko mwenzake.
Baadaye hilo bifu liliisha na wakafanya wimbo wa pamoja unaoitwa Namlaumu kama sikosei.
Wakawa marafiki kimtindo na kushirikiana mambo mbalimbali kutembeleana nk.
Tazama hapa picha Yao ya pamoja.
View attachment 2843414
Tunangojea majibu kutoka kwa Ray C tuone atajibu nini, tupo standby😂😂😂😂😂
anastruggle vip wakati ni relevant ukicompare na huxo mraibu wa madawa wa parisRay c yupo relevant zaidi kwa lifestyle na kizazi cha sasa. Lady jay dee alikuwa anaiimbia old audience toka kitambo ndio maana licha ya pesa, bado anastruggle kutoa hitz
Ni hii mambo matano at least imepata mileage
ni hali ya kibinadamu.Ukweli mchungu lady jaydee ana uchungu sana angalia hata majibu yake anaropoka tu ...Ana kiburi sana huyo mdada mara ajione ana pesa mara hivi .
Judith Wambura,Mkurya halafu nyimbo za Kijita?Huyo huwa anaimba ngoma za kienyeji za kijita
hana marafiki vip?Jide ana kisirani sana, anajiona star mkubwa sana na kiburi ila pia stress zinamsumbua.
Kuna siku nilikuwa airport kwenye yale madirisha ya kukata ticket na kuulizia ratiba za ndege,nikashangaa mtu ananigusa begi eti kaka naomba nipishe nina haraka,nikamwambia ungewahi kabla yangu subiri huko, basi akaanza kufoka pale, ana kisirani sana nadhani ndo maana hana hata marafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ray c alikuwa mtoto wa mjini anayefanya mziki kwa starehe sio kazi kama walivyo wasanii wengi wa kipind
Ndivyo unavyowandanya kwenye vijiwe unavyokaaga enh!😝😝😝.wasanii kama k lyinn nae alikuwa anafanya mziki kama starehe sio kazi .
Nani kakudanganya ni mkurya?Judith Wambura,Mkurya halafu nyimbo za Kijita?
Acha basi upotoshaji mkuu.
Mimi nahisi ukweli wa bifu zao wao ndio wanauelewa vizuri, enjoy their music.
ukimuacha sugu jide ni msanii anayeongoza kwa ngoma nyingi.Ray C ana ngoma kali inaitwa "unanimaliza" aliitoa around 2017 ila haiku-hit lakini ni bonge la ngoma. Video yake ame-act msanii Rammy Galis.
Sikujua kama hawa watu wamewahi kuwa na beef labda nilishasahau.
Ukiwa-compare wote wawili, JD ana hit song nyingi kuliko Ray C. Kuna siku clouds walipiga karibu song zote alizoimba JD sikuamini kama ana nyimbo nyingi sana alizoimba.
Wote wawili wameshafanya collabo na Rashid.
Km wewe ni Judith bisha lkn niachokifahamu anaitwa Judith Wambura (Wambura ni jina la Kikurya wala siyo la Kijita) na kwao ni Kinesi,ukiwa Mwigobelo ni ng'ambo ya pili (sasa kwakuwa eneo lile ni la Wasimbiti (jamii ya Kikurya) labda ndio ubishe.Nani kakudanganya ni mkurya?
Ndio na mimi nashindwa kuacha kushangaa,labda hajapona.Kwenye kipaji, Jide kamuacha mbali sana Ray C
Tokea ametoka miaka ya 2000 Jide kaachia hit songs back to back mpaka leo hii, lakini Ray C nina hakika turudi hata 10 years nyuma niambie katoa hit song gani ndani ya huo muda hakika hutaiona. . .
Hivyo Jide ndio Malkia
Tukija kwenye hii tweet, Ray C ana kiherehere tu ina maana hafatilii kinachoendelea kiasi kutojua kuwa ile tweet Jide alimjibu chuma??
Al in all, Jide 95% Ray C 5%
Wimbo wa jide wa Faraja ni sawa na hit song zote za ray c
Jide mwanamke wa shoka,na mwenye heshima nchini,kazungumza kishujaa,ukipata changamoto kwny maisha sio ubwie maunga thn uje kulaum watu,..badala ujipambanie utoke..yy ni shujaa coz Mungu alimsaidia aka overcome depression..na leo bado yupo juu anang'ara huyo mwngine TRAUMA ya madawa inamtesa mno
Ndio na mimi nashindwa kuacha kushangaa.Huyo Ray C anajishtukia. Jide alikua anamjibu Chid Benz ambaye ndiye alimuanza kwa kuongea upimbi.
Halafu watoto wadogo acheni kumfananisha Jide na upuuzi wowote ule.
Aliwahi kuolewa tofauti na alivoishi na Habash?Kibaya kwako kwa wenzio dhahabu
Kakaa na mumewe miaka 15 kabla.ya hawajaachana