Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa

Unaonekana Bado mtoto Kuna wengine wanasikiliza Melody tu kwa Hilo jide is the best anajua kuimba haboi ...Ray c she is talented lakini hawezi toboa kwa mziki wa siku hizi
 
wote wagonjwa tu, wanamhitaji MUngu. Ila RC ni mgonjwa mahututi zaidi, na ndiye aliyeharibu zaidi tabia za watoto kwa uvaaji wake na manyimbo yake, na ndiye aliyetumiwa zaidi na wanaume kuliko mwenzie aliyeaadilisha wachache tu. na ray c anakebehi mwenzie kwa kuwa single mother, uzuri wote ule alifikia kuzaa bila kuolewa. wakati mwenzie pia aliolewa bila kuzaa. atakayeheshimika ni huyu aliyeolewa, huyo mwingine analijua jina lake atakaloitwa.
 
Nimepitwa aiseee. Ila kusema kweli ile couple haikua inaendana basi tuuuu nlikua naona kama Aish kapotea njia. Kwahiyo mrembo Aishwarya kakimbia gubu la mama mkwe.

Movie ya khabhi khush, Amitabh ndio alikua hampendi mkwewe kny real life imekua viceversa lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…