Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Habari za leo?
Wadau nependa kushare nanyi hili tatizo ninalopata mwenzenu la kunyimwa UNYUMBA na mwandani wangu kisa homa ya Dengue.Mke wangu ni mama wa nyumbani lakini yeye muda wote hufaa mavazi full kuanzia kichwani hadi soksi miguuni,na ikifika muda wa kulala hulala na nguo zake full,nikimuuliza kulikoni anasema anaogopa kung'atwa na MBU anayeambukiza dengue.Yapata mwezi na nusu tangu aanze tabia hiyo,ila hapo nyuma alikuwa akinipa mzigo vizuri tu.
Je wenzangu wakazi wa Dar,wake zenu wana wanyima HAKI ya ndoa kama ninavyonyimwa mimi,au huyu mwandani wangu amepata mtu wa kumtimizia haja zake.???
NB:Mavazi anayovaa wife ni haya pichani.
Naomba msaada wa mawazo na ushauri pia.
Tafadhali usilete UTANI kwenye UZI huu.
Wadau nependa kushare nanyi hili tatizo ninalopata mwenzenu la kunyimwa UNYUMBA na mwandani wangu kisa homa ya Dengue.Mke wangu ni mama wa nyumbani lakini yeye muda wote hufaa mavazi full kuanzia kichwani hadi soksi miguuni,na ikifika muda wa kulala hulala na nguo zake full,nikimuuliza kulikoni anasema anaogopa kung'atwa na MBU anayeambukiza dengue.Yapata mwezi na nusu tangu aanze tabia hiyo,ila hapo nyuma alikuwa akinipa mzigo vizuri tu.
Je wenzangu wakazi wa Dar,wake zenu wana wanyima HAKI ya ndoa kama ninavyonyimwa mimi,au huyu mwandani wangu amepata mtu wa kumtimizia haja zake.???
NB:Mavazi anayovaa wife ni haya pichani.
Naomba msaada wa mawazo na ushauri pia.
Tafadhali usilete UTANI kwenye UZI huu.
