Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Uongozi wa mgahawa maarufu huko Darban Afrika kusini WISH pale ambako AKA alipigwa risasi,Baada ya kupata chakula chake Cha mwisho,last supper.
Unatangaza kuufunga mgahawa wa WISH kuanzia tareh 10/4/
Wanatarajia kuwaalika watu mbalimbali kula chakula Cha mwisho unaoitwa last supper kwa ajiri ya kumuenzi rapa AKA
The last supper ni Kama dedication kwa kilicho tokea kwa AKA kwasababu ndipo alipokula chakula chake Cha mwisho.
Uongozi wa Mgahawa wa WISH wanasema.. kutokana na misiba uliotokea mlango kwetu,tumepitia kushuka pakubwa sana kibiashara.
Tokea ulipotokea msiba wa AKA kwenye mgahawa wa WISH wanapata hasara sababu hakuna wateja.
Rest in peace rapper AKA
Unatangaza kuufunga mgahawa wa WISH kuanzia tareh 10/4/
Wanatarajia kuwaalika watu mbalimbali kula chakula Cha mwisho unaoitwa last supper kwa ajiri ya kumuenzi rapa AKA
The last supper ni Kama dedication kwa kilicho tokea kwa AKA kwasababu ndipo alipokula chakula chake Cha mwisho.
Uongozi wa Mgahawa wa WISH wanasema.. kutokana na misiba uliotokea mlango kwetu,tumepitia kushuka pakubwa sana kibiashara.
Tokea ulipotokea msiba wa AKA kwenye mgahawa wa WISH wanapata hasara sababu hakuna wateja.
Rest in peace rapper AKA