Kisa utovu wa nidhamu, kocha Etienne amtema Saido timu ya Taifa ya Burundi

Medecin

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2011
Posts
8,221
Reaction score
22,496
Kocha Mkuu wa Burundi ‘Intamba Mu Rugamba’, Etienne Ndayiragije amemwaacha nje ya kikosi kiungo wa Simba SC, Saido Ntibazonkiza wakati Burundi ikijiandaa kukabiliana na Namibia kwenye michezo ya kufuzu Afcon 2023 nchini Ivory Coast mwezi ujao.

Saido anatuhumiwa kwa utovu wa nidhamu baada ya kukataa kushiriki mchezo wa kirafiki dhidi ya Indonesia mapema mwezi Machi mwaka huu.

Mlinda mlango wa Coastal Union Justin Ndikumana ameitwa.

Kikosi kamili (Vilabu vyao kwenye mabano)

MAGOLIKIPA
R. Onesime (MESSAGER N.)
N. Justin (COASTAL UNION)
M. Fabien (VIPERS SC.)
B. Aladin (R FC WARNANT)

MABEKI
N. David (SOFAPAKA FC)
N. Youssuf (OGC NICE)
H. Rashid Léon (BUMAMURU FC)
M. Weymans (K. BEERSCHOT)
M. Collin (AIGLE NOIR)
N. Ismael (KIYOVU SC)
N. Christophe (ACADEMICO DE VISEU)
M. Derrick (NKANA FC)

VIUNGO
N. Jospin (YENI MALATYASPOR)
J. Liongola (LIERSE SK)
I. Donasiyano (Oakland Roots S.C.)
M. Emmanuel (KMS Fc)
T. Ngabo (UN. KAERJENG 97)
B. Abedi (KIYOVU SC)
N. Shassir (BANDARI FC)
G. Jean Claude (MAGARA Y.B)
M. Aaron (GREEN EAGLES)

WASHAMBULIAJI
B. Saido (AEL LIMASSOL)
B. Caleb (KAIZER CHIEFS)
S. Hussein (AS KIGALI)
N. Pacifique (VALOUR FC)
M. Aaron (GREEN EAGLES)
B. Richard (BUMAMURU)
K. Bienvenue (MFK VYOKOV)
C. Crispaldinho (RCS Verlaine)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…