Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ukorofi na ukorofi wa kijinga. Usiombe ukakutana na mwanaume ambaye ni mkorofi halafu mjinga🙌🙌yaani ukiona kitu anachokifanyia ukorofi hadi unajiuliza hivi huyu amechanganyikiwa au?"Kisaikolojia, wanawake wengi huvutiwa zaidi na wanaume wakorofi (wababe) kwa sababu huamini wanaweza kuilinda familia pamoja na kumlinda yeye mwenyewe."
😂
Angalieni msije ponza miili yenu
Baby mimi ni mkorofi ila huwa nachoma watu wanaonisumbua vidagger vya mapaja kama akina Maghayo zaidi ya hapo huwa nakuwa ni mpole kama uji unaopoa.Kuna ukorofi na ukorofi wa kijinga. Usiombe ukakutana na mwanaume ambaye ni mkorofi halafu mjinga🙌🙌yaani ukiona kitu anachokifanyia ukorofi hadi unajiuliza hivi huyu amechanganyikiwa au?
Ila mimi sitakuchoma vidaga baby nitakuchoma na vitu vingineKama chanzo cha kufanya ukorofi kina maana , kuwa tu mkorofi wasikuzoee😂
Vitu gani? Au madaga makubwa?Ila mimi sitakuchoma vidaga baby nitakuchoma na vitu vingine
Hahahahaha..Kwahiyo hizi pesa tuzitupe tu hazina kazi tena?
Kwanza nianze kwa Kumpongeza Mama SamiaJe Wajua Hawa Pichani Ndio Matapeli Wasio Kamatwa Nchini Tanzania View attachment 2944500
Kweli wako Kabwe MbeyaJe Wajua Hawa Pichani Ndio Matapeli Wasio Kamatwa Nchini Tanzania View attachment 2944500
Weusi Ungekuwa ni dili watu wasingejichubuaKwahiyo sisi warefu weusi, wenye mwili flani na hela hawatutaki tena
Sio kubwa saba na sio dagger ya chumaVitu gani? Au madaga makubwa?