Kisamvu Cha Nazi

Kisamvu Cha Nazi

X-PASTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
11,605
Reaction score
1,843
Mahitaji
Kisamvu ....................................................... 2 vikombe
Kunde mbichi zilizochemshwa .............. 1 kikombe
Kitunguu ........................................................ 1
Nazi nzito iliyochujwa ................................ 1 vikombe
Chumvi........................................................... Kiasi

Namna Ya Kutayarisha/Kupika
Weka kisamvu katika sufuria, katia kitunguu, tia chumvi, maji kidogo acha kichemke.
Huku ikichemka mimina kunde mbichi zilizochemshwa acha zipikikie kidogo mpaka kisamvu kikaribie kukauka na kunde kuiva.
Mimina nazi nzito punguza moto acha ichemke kidogo, mimina kwenye bakuli tayari kwa kuliwa. (Wengine uweka sukari kidog kuongeza radha)
 
ndaga mkulu! tutajaribu, inaonekana ipo pouwa!
 
Mahitaji
Kisamvu ....................................................... 2 vikombe
Kunde mbichi zilizochemshwa .............. 1 kikombe
Kitunguu ........................................................ 1
Nazi nzito iliyochujwa ................................ 1 vikombe
Chumvi........................................................... Kiasi

Namna Ya Kutayarisha/Kupika
Weka kisamvu katika sufuria, katia kitunguu, tia chumvi, maji kidogo acha kichemke.
Huku ikichemka mimina kunde mbichi zilizochemshwa acha zipikikie kidogo mpaka kisamvu kikaribie kukauka na kunde kuiva.
Mimina nazi nzito punguza moto acha ichemke kidogo, mimina kwenye bakuli tayari kwa kuliwa. (Wengine uweka sukari kidog kuongeza radha)

utamu wake hii kitu kilale afu kiliwe kesho yake balaa tupu na raha duniani yaani wewe acha tu..
 
sasa unaweza ukaongeza na nyama na nyanya chungu pia, unachemsha nyama pembeni then ikisha kwiva unaweka kwenye kisamvu chako alafu una unga kama kawaida kwa nazi weeeeeeeeeeeeeeeee! utakula mpaka ujute ama pia waweza kuweka nyanya chungu na kabla hujaweka nazi weka tui lako la karanga.
 
umesahau vitunguu swaumu kuleta harufu murua mkuu
 
sasa namimi ndio naitikia vipi... ndaga fijo mwanafyale... Au...?
ndaga fijo yatosha mkuu!! Hiyo mwanafyale na mimi ngoja nikae kimya kwanza, maana na mie nadandia tu!
 
Back
Top Bottom