Kisamvu...

Tatizo sio kuumia mkuu. Tatizo ni muda. Maisha yamekua kasi sana usipoangalia unakosa Musa wa kutosha kufanya maisha kuwa bora. Kama kuna kitu kinafupisha process bila kuathiri quality ni kheri tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio vibaya lakini ukipata muda ukakitwanga mwenyewe fresh,.ili kuepuka kula kilichopoteza uhalisia wake,.
 
nakinai mapema sana nikila kitu chenye sukari au mafuta mengi hata hiyo haluwa inanishindaga mafuta

watu wa zenji ndo mafundi wa hiyo kitu
Sasa nikupe mbinu ya Vitamins.. , huwa unasukumia na Kahawa (coffee changu) 3 cups !! Weeee
 
Wakurya mna hasira hadi na vyakula..lol,....ungepita tuu kimyakimya


Si hasira ila umenitamanisha kwa kuisalimia mboo yangu, ilibidi nikushangae tu. Kwa watu wa Dar ama Pwani kisamvu ni mboga, kwetu sie ukimkaribisha mgeni ugali na kisamvu anatapika na usikute asirudi tena kwako kwani kisamvu tunafananisha na mwanamme wa Pwani kupakuliwa choo. In short, ni matusi na fedheha kwetu kumkaribisha mgeni mboga ya kisamvu.
 
Hiki kisamvu ukikipatia na wali wa nazi daku daaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…