derick mkuwa
Member
- Jan 14, 2013
- 10
- 3
Hatimaye KISANDU akutana na wanachuo wa chuo kikuu cha mt.Augustino kwa muda wa masaa mawili na kubadilishana nao mawazo mbalimbali,aidha bwana Kisandu amepokea changamoto toka kwa wanachuo wanaosomea fani ya jamih(sociology) wakiomba serikali iwaajiri mashuleni kama inavyowaajiri walimu kwani nao fani yao inahusu maendeleo ya jamii hizo.