Kisarawe: Mwamposa, Jaffo, LT.COL Kombo, waungana na DC Petro Magoti Siku ya Wazee Duniani

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
SIKU YA WAZEE DUNIANI 1 OCTOBER 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti jana aliandaa Chakula cha Mchana na wazee zaidi ya 300 ktk Ikulu ndogo ya Kisarawe kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na katika Hafla hiyo Mgeni Rasmi alikuwa Dkt. Suleiman Jaffo-Waziri wa Viwanda na Biashara lakini pia Mbunge wa Jimbo la.Kisarawe

Wageni Wengine walikuwa Mtume Mwamposa ,Shekhe wa Mkoa wa Pwani Abbas, Kamati ya Amani Wilaya ya Kisarawe, Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, LT.COL Kombo, Watendaji wa kata 17 Wilaya ya Kisarawe na wadau Mbali Mbali.

Rais Samia amekuwa na Utaratibu wa kuonana na Wazee kila Mkoa na wilaya anapokuwa Ziarani hivyo Mkuu wa Wilaya Kisarawe amekuwa akitekeleza nakuzingatia Maelekezo ya Mh.Rais Samia

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Hapo walikuwa wanafanya mazindiko ya kishirikina tupu wala hapakuwa lengo jema
 
Wazee wa kizaramo hawa hapo
Wanawaza ushirikina tu kwa kwenda mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…