Kisayansi inawezekana Silaha kurushwa kutoka Nchi moja na kwenda kuua Mlengwa aliyeko Nchi nyingine?

Kisayansi inawezekana Silaha kurushwa kutoka Nchi moja na kwenda kuua Mlengwa aliyeko Nchi nyingine?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nafikiria namna Nduli Iddi Amin alivyosumbua hadi ikalazimu kutumwa Jeshi nchini mwake likamshughulikie huku Watu Wengi wakipoteza maisha

Nimeshangaa Leo kusikia kifaa kimerushwa Tel Aviv na kwenda Moja kwa Moja kuuwa Mlengwa aliyeko Tehran Iran

Kisayansi hii imekaaje?

Kibongo bongo wanarushaga majini tu

Mlale Unono 😀🔥
 
Nafikiria namna Nduli Iddi Amin alivyosumbua hadi ikalazimu kutumwa Jeshi nchini mwake likamshughulikie huku Watu Wengi wakipoteza maisha

Nimeshangaa Leo kusikia kifaa kimerushwa Tel Aviv na kwenda Moja kwa Moja kuuwa Mlengwa aliyeko Tehran Iran

Kisayansi hii imekaaje?

Kibongo bongo wanarushaga majini tu

Mlale Unono 😀🔥
Kama yale Yanga walikuwa wanamrushia Mayele huko Misri
 
Yah ipo hyo sku hizi bomu linatumwa likiwa na uwezo wa kwenda km kadhaa na pia linakuwa na DNA za mhusika so linamfata mhusika tu.

Na bomu hilo linaweza rushwa direct from israel au kubebwa na drone
Huwa linakuwa linamfuatilia mhusika kupitia harufu ya kinyesi cha mhusika, ikitokea mhusika hata kanyampa tu, hapo hujifyatua.
Kama vipi acha tudanganyane tu kwani hatari kitu gani?
 
Huyu naye kaja na chumvi zake, bomu halifuati Dna za mtu, linafuata target, ndiyomaana mtego wa panya umenasa na wasiohusika.

Kaenda na watu waliokuwa karibu yake.
Kwani google huwa mbaitumia kwa kazi gani au ndo kuangalia porn asubuhi mpka jioni
 
Nafikiria namna Nduli Iddi Amin alivyosumbua hadi ikalazimu kutumwa Jeshi nchini mwake likamshughulikie huku Watu Wengi wakipoteza maisha

Nimeshangaa Leo kusikia kifaa kimerushwa Tel Aviv na kwenda Moja kwa Moja kuuwa Mlengwa aliyeko Tehran Iran

Kisayansi hii imekaaje?

Kibongo bongo wanarushaga majini tu

Mlale Unono 😀🔥
John kwa nini usitulie ukalea wajukuu,ukihangaika na mambo makubwa haya utasahau hata kujihudumia vyema na kapensheni kako.
 
Leo naona Israel kapiga target 3 na zote zimeua..jioni hii ameuawa kamanda wa anga wa Iran Huko Damascus Syria, Acha tuombe MUNGU maana kuna vita kubwa inakuja
Ukiuwa viongozi inachukua muda kufanya mobilization mpya
 
Nafikiria namna Nduli Iddi Amin alivyosumbua hadi ikalazimu kutumwa Jeshi nchini mwake likamshughulikie huku Watu Wengi wakipoteza maisha

Nimeshangaa Leo kusikia kifaa kimerushwa Tel Aviv na kwenda Moja kwa Moja kuuwa Mlengwa aliyeko Tehran Iran

Kisayansi hii imekaaje?

Kibongo bongo wanarushaga majini tu

Mlale Unono 😀🔥
Makombora ya Masada ya mbali yatasaidia tu kumdhoofisha adui, ila kuteka na kudhibiti eneo husika lazima askari wafike.
Nduli Amini asingekimbia Uganda kama jeshi la Tanzania halikufika Kampala.
 
Nafikiria namna Nduli Iddi Amin alivyosumbua hadi ikalazimu kutumwa Jeshi nchini mwake likamshughulikie huku Watu Wengi wakipoteza maisha

Nimeshangaa Leo kusikia kifaa kimerushwa Tel Aviv na kwenda Moja kwa Moja kuuwa Mlengwa aliyeko Tehran Iran

Kisayansi hii imekaaje?

Kibongo bongo wanarushaga majini tu

Mlale Unono 😀🔥
Inawezekana zamani tulisoma kwenye soma la physics kuhusu projectiles japo kiuhalisia sasahivi dunia ni kijiji yaani iko kiganjani kuna mawakala kote duniani wakapewa kazi kwa makubaliano ya malipo
 
Leo naona Israel kapiga target 3 na zote zimeua..jioni hii ameuawa kamanda wa anga wa Iran Huko Damascus Syria, Acha tuombe MUNGU maana kuna vita kubwa inakuja
Kwann Israel ikipiga haikosei!? Iran ilirusha zaidi ya 300 lakini hata moja halikulenga
 
Back
Top Bottom