chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Katika project ambazo zinanipa kutafakari ni kuhusu uhai ambao kama dunia unaweza ukafikiria.
Physics na kemia kuna kitu kinaitwa ukomo wa kitu sana sana unaegemea kwenye kemea kuhusu mada za atomic na chemikali.
Mfano kuna atomic ambazo zilizo tengeneza hydrogen kwa wanasayansi katika periodic table ndio mama.
Hii hydrogen ndio inaweza kuwa alpha na omega kwa haya yote mpaka mpunzi zetu na mengine.
Upande wangu wangu ambao nataka kueleza kiumbe ni nishati ambacho bila mwanga kinaweza kuzorota au umeme halisi.
Umri wa mtu ni nishati inayotegemea haya kama ikishindwa kusaidiwa basi ugeuka kuwa kitu kingine.
Mfano chakura kiingia kwa mnyama kikitoka kina kuwa mbolea.
Ukifa au mmea kufa unakuwa faida ya wa wengine.
Tambua binadamu sisi ni kama mabetri yanayo taka umeme asili ndani ya kemikali tulizo nazo na uwezo wa kuziitaji.
Zikishindikana ndio mwanzo wa magonjwa ambayo leo uchangia wengi kufa haraka.
Hii ni project ya utafakari.
Kumbuka:utafakari sio kuanza kujua kosa la kuandika
Physics na kemia kuna kitu kinaitwa ukomo wa kitu sana sana unaegemea kwenye kemea kuhusu mada za atomic na chemikali.
Mfano kuna atomic ambazo zilizo tengeneza hydrogen kwa wanasayansi katika periodic table ndio mama.
Hii hydrogen ndio inaweza kuwa alpha na omega kwa haya yote mpaka mpunzi zetu na mengine.
Upande wangu wangu ambao nataka kueleza kiumbe ni nishati ambacho bila mwanga kinaweza kuzorota au umeme halisi.
Umri wa mtu ni nishati inayotegemea haya kama ikishindwa kusaidiwa basi ugeuka kuwa kitu kingine.
Mfano chakura kiingia kwa mnyama kikitoka kina kuwa mbolea.
Ukifa au mmea kufa unakuwa faida ya wa wengine.
Tambua binadamu sisi ni kama mabetri yanayo taka umeme asili ndani ya kemikali tulizo nazo na uwezo wa kuziitaji.
Zikishindikana ndio mwanzo wa magonjwa ambayo leo uchangia wengi kufa haraka.
Hii ni project ya utafakari.
Kumbuka:utafakari sio kuanza kujua kosa la kuandika