kisheria baada ya ndoa mwanamke yampasa kutumia jina gani la mwanaume??

kisheria baada ya ndoa mwanamke yampasa kutumia jina gani la mwanaume??

NONGWA

Senior Member
Joined
Mar 10, 2012
Posts
142
Reaction score
116
Wanasheria nawadau wengine naomba kuelezwa vizuri baada ya kuowa ni miaka miwili sasa lakini tunavutana na mke wangu kutumia jina langu la ukoo anapenda kutumia jina langu la kwanza kuliko la pili. sasa naomba kueleweshwa mnapokuwa mume na mke kwa mfano naitwa JOHN NONGWA mke wangu anataka aitwe MRS Mary John na sio MRS Mary NONGWA. na mimi kama mwanaume napenda jina langu la ukoo ndio litumike zaidi kuliko jina langu la kwanza hiyo imekaaje???
 
Kwani ukoo ndio umemuoa?

Any way, hilo halipo kisheria. Ila linachukuliwa kama moja ya haki ya Mke kutumia jina la mumewe Mrs John. Na wengine hutumia haki hiyo na wengine hawaitumii. Na hilo sio tatizo maana haliko kisheria. Sio lazima.
 
Back
Top Bottom