pilikapilika2013
Member
- May 19, 2023
- 20
- 34
Naulizia, inakuwaje kisheria kama Mtuhumiwa amewasilisha hati ya ushahidi iliyoghushiwa, Mbali na kuikataa isitumike, Je naweza nikafungua Shauri jingine dhidi yake Kwa kughushi nyaraka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shika Mara moja hiyo ntuzu weka ndani yaani inaforge Mali ya Serikali? Embu eleza iko wapi hiyo ntuzu nije kuibebaNaulizia, inakuwaje kisheria kama Mtuhumiwa amewasilisha hati ya ushahidi iliyoghushiwa, Mbali na kuikataa isitumike,Je naweza nikafungua Shauri jingine dhidi yake Kwa kughushi nyaraka?
Kabla ya kuwasilisha ushahidi wake mbele ya mahakama huapa kwamba atasema kweli.. Kweli tupu! Hivyo akileta ushahidi bandia hiyo ni kesi nyingineNaulizia, inakuwaje kisheria kama Mtuhumiwa amewasilisha hati ya ushahidi iliyoghushiwa, Mbali na kuikataa isitumike, Je naweza nikafungua Shauri jingine dhidi yake Kwa kughushi nyaraka?
Sawa, hivyo naweza fungua madai mengine kutokana na tukio Hilo na likawa na hukumu yake inayojijegemea ?Kabla ya kuwasilisha ushahidi wake mbele ya mahakama huapa kwamba atasema kweli.. Kweli tupu! Hivyo akileta ushahidi bandia hiyo ni kesi nyingine
hivyo naweza fungua madai mengine kutokana na tukio Hilo
Maliza kwanza kesi husika, vipi ujatikisa ushaidi wake ili uongo uonekane!!Sawa, hivyo naweza fungua madai mengine kutokana na tukio Hilo na likawa na hukumu yake inayojijegemea ?
Ikithibitika kaghushi hiyo ni kesi nyingineSawa, hivyo naweza fungua madai mengine kutokana na tukio Hilo na likawa na hukumu yake inayojijegemea ?
To file forged documents in court is unacceptable. In the case of Mohamed Athumani Bado Vs Leila Kalebu Makundi Misc Civil, Application No 14 of 2022, HC at Temeke, it was stated that; ''I wish to comment on allegedly forged documents.Filing forged documents in court is unacceptable. Lying under oath is detestable by any standard...."Naulizia, inakuwaje kisheria kama Mtuhumiwa amewasilisha hati ya ushahidi iliyoghushiwa, Mbali na kuikataa isitumike, Je naweza nikafungua Shauri jingine dhidi yake Kwa kughushi nyaraka?
Duh umejibu kwa hasira kweliAcha roho mbaya mleta mada ,dili na kitu kimoja sasa unataka asitafute namna ya kujinasua ,una roho mbaya sana na unapenda kesi ,natumaini hata maendeleo wewe huna kabisa