Kuna jamaa yangu kabisa tunafanya biashara moja kwa hiyo huwa tuna aminiana anaweza kunipa mzigo niende kumuuzia au kumnunulia na pia mimi nampa pia
Mwaka jana mwezi wa 5 nikampa mzigo wa kama M6 akauze, akauza mzigo na tukawasiliana kwamba atanitumia hela kesho, kesho akaleta hadithi.
Hadithi zikaendele hadi wiki 3 baada ya hapo akawa hapoke simu na baadae akapotea hewani
Akaja kuibuka mwezi wa 10 akadai alipata dili akaona atie hela zote huko maana lilikua lina lipa lakini akapigwa
Akadai atanilipa kila mwezi M1 nikamkubalia sababu ni jamaa yangu na ikabidi tuandikishiane akiri kwamba namdai hela zangu na alizitumia kimako na yupo tayari kulipa M1 kila mwezi
Toka mwezi huo wa 10 jamaa hajanipa hata shilingi ni sound tu kila siku, mjumbe akapendekeza nimpeleke mahakamani.
Jamaa naye akaanza kiburi oooh usipelekeshe deni halifungi mtu nipeleke popote hata mahakamani nitasema uwezo wangu ni kulipa 10k kwa mwezi
Sasa huyu mwamba katangaza vita na mimi hatakikulipa deni nimpeleke mahakani
Swali langu
Siwezi kumfungulia kesi ya wizi wa kuaminika?
Kwamba huyu ni tapeli tu kanitapeli hela zangu kinyume na makubaliano
Nimeamua kuachana na deni ikibidi ili dili na wizi
NB: Maandishi mbele ya mjume kuwa namdai aliandika kwa mkono wake. Nina sms zake na voice note ambazo zina majibizano yote nilikuo nampigia baada ya kuona anaanza kuniletea hadithi
Naomba ushauri wenu
Mwaka jana mwezi wa 5 nikampa mzigo wa kama M6 akauze, akauza mzigo na tukawasiliana kwamba atanitumia hela kesho, kesho akaleta hadithi.
Hadithi zikaendele hadi wiki 3 baada ya hapo akawa hapoke simu na baadae akapotea hewani
Akaja kuibuka mwezi wa 10 akadai alipata dili akaona atie hela zote huko maana lilikua lina lipa lakini akapigwa
Akadai atanilipa kila mwezi M1 nikamkubalia sababu ni jamaa yangu na ikabidi tuandikishiane akiri kwamba namdai hela zangu na alizitumia kimako na yupo tayari kulipa M1 kila mwezi
Toka mwezi huo wa 10 jamaa hajanipa hata shilingi ni sound tu kila siku, mjumbe akapendekeza nimpeleke mahakamani.
Jamaa naye akaanza kiburi oooh usipelekeshe deni halifungi mtu nipeleke popote hata mahakamani nitasema uwezo wangu ni kulipa 10k kwa mwezi
Sasa huyu mwamba katangaza vita na mimi hatakikulipa deni nimpeleke mahakani
Swali langu
Siwezi kumfungulia kesi ya wizi wa kuaminika?
Kwamba huyu ni tapeli tu kanitapeli hela zangu kinyume na makubaliano
Nimeamua kuachana na deni ikibidi ili dili na wizi
NB: Maandishi mbele ya mjume kuwa namdai aliandika kwa mkono wake. Nina sms zake na voice note ambazo zina majibizano yote nilikuo nampigia baada ya kuona anaanza kuniletea hadithi
Naomba ushauri wenu