Kisheria wabunge hawana mamlaka ya kupinga serikali 3


MKUU kwani ni kosa kila mtu kuwa mwanasheria? sheria zenyewe zinasema....ignorance of law is not a defence, ....unless the ignorance itself is a subject matter of the offence under question in that particula proceeding.
 
MKUU kwani ni kosa kila mtu kuwa mwanasheria? sheria zenyewe zinasema....ignorance of law is not a defence, ....unless the ignorance itself is a subject matter of the offence under question in that particula proceeding.
Mkuu Gisana, hoja yangu ni haws wafasiri wa sheria wasiojua who is mightier kati ya tume na bunge la katiba!. Wanadhani maoni ya tume ndio ya mwisho na bunge la katiba ni just a rubber stamp kuyapitisha hivyo hivyo yalivyo!.

Hawajui kuwa mbele ya bunge la Katiba, tume ya kukusanya maoni, sii lolote sii chochote tena isingekuwa kuendekeza tuu ulaji, tume hii ilipaswa iwe imevunjiliwa mbali, mara tuu baada ya kuwasilisha rasimu kwa rais wa JMT!.

Pasco
 
Leo nilikuwepo Mjini Arusha na Nimemsikiliza kwa Makini sana Judge na Pastor wangu Augustine Ramadhani, ameongea kisheria zaidi sio kisiasa wala Kiharakati.

Bunge lina mamlaka kisheria kutunga sheria na kubadili Rasimu ya Katiba bila ya kuwekewa Limitation kwa kuwa lina
' Legitimacy Power' kutoka kwa wananchi Directly na ndio maana hata hawa wajumbe 201 wa kuteuliwa hawawezi kudilute legitimacy power ya Wabunge wa kuchaguliuwa na wananchi., tume ya Warioba iliteuliwa na Mtu mmoja tu ( Rais wa Jamhuri) tena bila ya kuwepo sheria na kanuni za msingi zenye uwezo wa Ku Over power mamlaka ya Bunge.

Taasisi gani au mamlaka gani huru iliyosimamia ukusanyaji wa maoni katika tume hiyo kiasi cha kuamini Takwimu za kusema asilimia fulani ilitaka jambo gani? Tume ya Warioba yenyewe imekusanya maoni, yenyewe imehariri, yenyewe imeandika Rasimu, halafu Tuipe Mamlaka ya kulizidi wabunge wakati hawa ni wateule tu wa Mh. Rais ambao hatujui legacy yao kwa wananchi. Pengine tungeomba ridhaa ya wananchi kupewa ujumbe wa tume pengine wote wangekataliwa.

Nani anaweza kututhibitishia hapa kuwa Warioba na Tume yake wana Legitimacy ya wananchi kisheria?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…