Kishindo cha Barcelona na Real Madrid leo

gyeetitus

Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
86
Reaction score
39
Bila shaka mwana JF upo salama salmini.

Leo sasa hebu tuangalie ni namna gani katika hatua ya makundi (league 1) ikiwa real Madrid itaanza mechi yake kwa mwaka huu 2018 ikicheza na numancia baada ka kupoteza mechi pendwa ya mwaka Jana mwishoni baina ya Barcelona kwa kufungwa 3-0.lakini pia Barcelona inajiimarisha kufuzu ubingwa kwa kuanza kucheza na celta Vigo Leo pia.

Toa ubashiri wako juu ya mechi hizi zinazocheza usiku huu
 
Reactions: PNC
Hujui chochote kuhusu mpira sababu

Barca na Madrid hazichezi league 1 zinacheza Laliga

Alfu mechi za Leo sio za league


Kwaiyo tuliza ANUS yako
Mkuu umekuja na hasira jambo sio zuri
 
AYA YA SIKU

Na tuchunguze njia zetu na kuzijaribu, Na kumrudia Mungu tena.

Maombolezo 3:40
 
Mkuu jamaa kakosea ila ungemuelewesha bila kumvunjia heshima
Mkuu usipate shida unajua siwezi panic na mtu just anae type maandishi ya matusi kujua najua wanacheza cops de ley kilichoo mjaa moyoni acha kimtoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…