Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Habari za asubuhi, Punde tu muda wa saa 11:00 kamili umesikika mshindo mkubwa sana mithili ya Bomu maeneo hayo tajwa. Walio Karibu ni Nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishaamka bana, ila kimestua sana kwani hadi Mbwa wamebweka kwa woga mkuu.Ebu lala huko utakuwa umeota tu
HahahahahaahhahahaahaMwanga tu kadondoka mkuu na ungo!
Endelea kulala
Hujambo mwanangu?Ebu lala huko utakuwa umeota tu
Mkuu,Badala ya kutoka nje na panga uone kinachojili umekimbilia kuanzisha uzi
Hilo ni tairi la gari kubwa au mtungi wa gas
una uhakika hao watakuwa mbwa au paka!!mbwa gani anazimia akisikia kishindo,akija mwizi hao mbwa utawakuta darini aiseeMkuu,
Nimetoka nimekuta Mbwa wangu wamezimia ila kwa sasa wapo vizuri.
Mkuu upo?una uhakika hao watakuwa mbwa au paka!!mbwa gani anazimia akisikia kishindo,akija mwizi hao mbwa utawakuta darini aisee
duh hao mbwa wanakichwa cha binadamMkuu,
Nimetoka nimekuta Mbwa wangu wamezimia ila kwa sasa wapo vizuri.