Kishindo kikubwa maeneo ya Sinza/Mwenge/Kijitonyama.

Wanaume wa daslam haoo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: mwl
itakuwa watu zaidi ya 200 wamepiga bao kwa mara moja, maana maeneo yenu hayo mechi 24/7
 
Habari za asubuhi, Punde tu muda wa saa 11:00 kamili umesikika mshindo mkubwa sana mithili ya Bomu maeneo hayo tajwa. Walio Karibu ni Nini?


We kijana Tusker Bariiiidi kumbe ndiyo wewe, sasa nimekushika pabaya. Wewe ulipita mtaani kwetu ukitokea pale Bar ya Meada kutafuta machangu....baadhi tulikuona ila wewe hukutuona. Ukapita pale mtaani na washikaji zako huku mmebeba ndoo ya plastiki na nondo, mkapanda mnara wa Tanesco kuiba mafuta ya transformer ndipo mkalipukiwa na umeme. Mwenzako tumemuokota sie wasamalia Wema, bado wewe tu na tutakukamata.
 
Kwa kushirikiana; Kenya, Somalia na
Tanganyika ziko kwenye ugawaji ardhi kwa kujitenga na Africa, ndo sauti ikatoka, sikilizeni sauti ya mpasuko huo!
Hii stori ya BBC ilinishangaza kidogo. Eti kuna uwezekano Wa kutokea bahari halafu tukawa bars lingine, Hizi tafiti nyingine muflisi.
 
Ni Transformer ya Wapi maana ilipiga Kishindo cha haja. Huyo jamaa mliyemuokota yuu hai.
 
Ni Transformer ya Wapi maana ilipiga Kishindo cha haja. Huyo jamaa mliyemuokota yuu hai.


Kumbe una roho mbaya hivyo, jamaa ni mshikaji wako mlikwenda kuiba wote mafuta ya transformer. Kwani mlikuwa hamjuwi transformer akilipuka inalia kama bomu? Mshikaji wako hatuna habari naye, tulimuokota akiwa hoi na kumpeleka hospitali ya pale Sinza, zaidi ya hapo sina habari naye kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…